Habarini za jioni ndugu zangu wakubwa na wadogo.
Moja kwa Moja niende kwenye lengo la Uzi huu.
Nimekuwa nikifuatilia moja ya kurasa ya mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa Instagram, ukurasa huo sitautaja kwa jina ila wenyewe unahusu kupeana ushauri, maono na kwa kiasi kidogo kutafuta mwenza awe...
Ila malalamiko hayataisha,,,!!!!
Usaili ulikuwa unafanyika Dodoma, wameboresha kulingana na mahitaji ya wadau na uwezo wa sekretarieti ya ajira na bado malalamiko yanaendelea.
Leo nimeamini hakuna kitu kitakuja kufanywa kwa ubora na kisikose lawama na kubezwa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.