SHIDA ILIYOPO NI KWAMBA OFFICERS WA TRA KWA MAZINGIRA HAYA MAGUMU KWA MFANYABIASHARA WAO NDIO WANAPIGA PESA SAANA,HIVYO HAWAWEZI MSHAURI MAMA WAZIRI WALA MTU YOYOTE KUFANYA MABADIRIKO,WANAPATA PESA NYINGI KUZIDI SERIKALI
Kumekuwa na uhaba mkubwa sana wa sarafu tajwa hapo juu sijajua kama bot kama msimsmizi wa hizi pesa anafahamu hili au waziri wa fedha alitolee ufafanuzi maana kina dalili ya vitu vidogo vidogo hata vikubwa kupanda bei
Wafanya biashara mfano daladala wameathirika na hili
Wafanyabiashara wa...
Paskal umeanza kunifanya nifikirie zaidi juu kauli yako kuhusu pesa,yaani mtu akupe tu pesa,hakuna pesa inayotolewa kwa mtu kama zawadi,pesa haikuwahi kuwa zawadi,pesa ya namna hii ni rushwa na pia kuna vitu vikitolewa kwenye mazingira fulani ni rushwa tu what connect between chadema and ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.