Jamani naomben msaada nimefika hatua ya kuandoka transfer request lakini Kila nokituma ombi inaniandikia error initiating transfer request msaada please
Daaaa watu bhana wanasema biotechnology ya sua eti haina Issue hapo boss nimekuelewa vizuri sana mm ni mwalimu wa chemistry ninataka kwenda kusoma hiyo ya sua ili nije nifungue laboratory yangu
Wadau naombeni msaada nimekuja kuomba msaada wa mawazo kwani mwanzo yalinikuta kwenye bachelor Moja hivi haikua na ajira nikakimbilia diploma ndipo nilipo maliza nilikaa miaka miwili nikawa nimeajiriwa mwanzo niliamua mwenyewe bila kupata ushauri nikaangukia pua
Boss mi naitaji ushauri mi Toka nimeajiriwa Huwa naandaaga practical Hivyo nikaona ni kozi gani itakayo niwezesha niwe full lab technician ya miaka 3 nikaona hii ya BLS Kwa sababu Niko kwenye ajira naona itanifaa unajua boss wangu Kila kitu huanzia chini .Humu ndani Kuna wadau wanamawazo mazuri...
1.Bachelor of laboratory science and technology
2.Bachelor of biotechnology and laboratory science course nyingine zinazo husu laboratory mtanisaidia ila hizo ndio na prefer malengo yangu baadae niwe mtaalamu wa maabara zaidi DIP GPA 4.9 NA SIX ACEE Chemistry B,Biology C lakin O-level...
Habar za mda huuu wakuu naitaji msaada mi ni mwalimu naitaji kujiunga na DIT mwaka huuu bachelor of laboratory science and technology miaka 4 Kwa ambao hatujasoma diploma ya maabara nimefuatilia sijaelewa maelezo ya jumla ya ada Kwa tunaojilipia ili nijipange vizuri naombeni anae jua anielekeze
Nimekuelewa sana boss wangu
Mm ni mwalimu chem na bios nataka kua lab technician katika kada yangu nisome ipi kati ya hizi Bachelor of laboratory science and technology ipo DIT NA MUST au bachelor of biotechnology and labotory science ipo sua msaada wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.