Recent content by chilubi

  1. C

    Kupindua utawala Iran sio lengo la Vita lakini kama Iran itaendelea kudhuru raia Israel kuvuka mistari nyekundu, chaguzi zote zitakuwa mezani

    Israel inataka leo utawala uliopo uanguke na irudi familia ya Shah kurudisha ufalme. Netanyahau kashawaambia Wairan kuwa wakati wao ndio huu wa “kujikomboa” wao wanadhoofisha serikali, wairan waje juu kupindua. Serikali ya Iran ina wasaliti wengi
  2. C

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania

    Na nyie wenye maisha ya kujenga hoja, mnatumwa na hao hao. kuna faida gani ya kujisifia kuwa unajenga hoja kisa tu dini yako ilhali unaabudu mtu?
  3. C

    BMW 3 Series vs Crown Athlete

    Hizo ni performance cars unazozungumzia wewe, hazihesabiwi kuwa ni flagship ya brand. Kwenye huo ukanda unaozungumza, kuna Lexus LFA, hii ni Halo car, limited in numbers and out of all Lexus' hii ndio the most expensive Lexus and high performance car, but still, sio flagship. Kwa makampuni...
  4. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Nimezifuatilia izi codes. Nilichogundua, kuwa kuna vvti fikter bank 1 ilikuwa na uchafu kama pamba (bila shaka oil filter za karatasi ndio chanzo) nikaisafisha, nikafungua oil pan, nikakuta mwengine. Nikasafisha. Hadi sasa leo ni ya nne, nimejaribu kuendesha kwa speed kubwa na ndogo mlio...
  5. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Hakuna uhusiano kati ya mlio na joto la engine. huu mlio hautokei ikiwa nita drive kikawaida. Ila nikianza kukanyaga mafuta mfano na overtake au hata kama nakanyaga tu kwa nguvu basi nikimaliza kukanyaga ndio mlio unakuja. Sijatia oil ilokuwa nzito, naweka recommended engine oil ya 5w30...
  6. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Nimenunua brand new plugs, lakini sio za denso wala NGK. halafu huu mlio unatoka sehemu hio hio, kama sio cylinder 5 basi ni 3 (upande wa dereva) pale kenye maeneo ya ile d4 pump. kwa sababu upande wa abiria ni kawaida tu. sasa pia nawaza isijekuwa hii high fuel pressure pump nayo pia inazingua...
  7. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    hizi GR engine zina matatizo yenye kufanana mana mfumo ndio ule ule tofauti ni engine capacity ndio imetofautiana. Sasa bro hukuihangaika 4gr? mana angalau nikapata idea kile ulichofanya
  8. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Hapalaliki :D mana nikiwaza kama inahitajika kufungua engine yote halafu ukute cylinder wall imeenda zake au piston imeenda zake, basi nawaza kununua engine nyengine tu
  9. C

    Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Habari wadau, Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka. Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa nyengine nikiwa idle, hakuna mlio wa knock kabisa, engine inanguruma vizuri tu, na sometime ikiwa idle...
  10. C

    Ngoja nikupe facts why Toyota Crown ni bora kuliko Toyota Mark X

    Hii hii GRS200 ama ni zile za kuanzia 2017? Mimi Nina GRS204 full option lakini Cruise control ni ya kawaida sio dynamic (nilikuwa na lexus is200 ya 1999 ilikuwemo). Haina collision avoidance system zaidi ya parking sensors. Sijawahi ona driver monitoring system ama labda kwa sababu sijawahi...
  11. C

    Video: Wana usalama watumia machine guns kumimina risasi kwa raia wanaopinga dhuluma za kidini Iran

    Sishangai kwanini unaamini mtu kuwa ndio mungu. Hizi ni aya kutoka katika Quran?
  12. C

    Video: Wana usalama watumia machine guns kumimina risasi kwa raia wanaopinga dhuluma za kidini Iran

    Ukiileta aya kwenye Quran ilotaja umri wa huyo unaemkusudia nakuwa mkristo na kuanza kuamini huyo mungu unaemuabudu alomtia mimba katoto ili azaliwe yeye :D
  13. C

    Video: Wana usalama watumia machine guns kumimina risasi kwa raia wanaopinga dhuluma za kidini Iran

    mungu wenu si kamtia mimba bikra maria akiwa na miaka 12 iv ili azaliwe? :D
Back
Top Bottom