Recent content by chilomo

  1. C

    GE2010 Nani kuiwakilisha CHADEMA 2010?

    Mwiba vipi rafiki? kama una ujumbe wa uhakika tupo habari. JF ni sehemu ya kupashana habari wewe unaficha! Sema tukupe mji gani ili utegue hicho kitendawili?
  2. C

    Kwa ufupi: Bilal alikuwa aondoke CCM...

    Malaria sugu, hongera! misafara yote hiyo! Zenji, dodoma kwa kipindi kifupi hivyo. Wewe ni mzalendo kweli kweli, lazima kufuatilia yanayotendeka kwa faida ya Taifa lako. Endelea kutujuza rafiki. Keep it up!
  3. C

    GE2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

    BROTHER PASCO LOOH!!! unanitisha ndugu yangu, hata hivyo najifunza. Kumbe sikutakiwa kulizungumza hili ni mapema mno? Lakini kama utakuwa makini mimi nimeuliza swali tu.
  4. C

    GE2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

    thank you mganyizi kwa kunipa moyo kwani nilishaanza kuogopa kuwa huenda nimekurupuka pia sina haki ya ku share yale niliyoyaona. Naamini jf ipo kwa ajili ya kujuzana. Najifunza pia. Nimeshakaribia.
  5. C

    GE2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

    Mzee wetu Mhe. FREDERICK SUMAYE atueleze nini kinaendelea kati yake na viongozi wakuu wa CHADEMA? Ni juzi tu tarehe 16 Juni majira ya sa 3.15 asubuhi maeneo ya Protea Hoteli iliyopo Oysterbay nilimuona kwa MACHO YANGU mheshimiwa huyu akiwa kwenye gari yake aina ya Landcruiser namba T634 AKN...
  6. C

    GE2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

    Mzee wetu Mhe. FREDERICK SUMAYE atueleze nini kinaendelea kati yake na viongozi wakuu wa CHADEMA? Ni juzi tu tarehe 16 Juni majira ya sa 3.15 asubuhi maeneo ya Protea Hoteli iliyopo Oysterbay nilimuona kwa MACHO YANGU mheshimiwa huyu akiwa kwenye gari yake aina ya Landcruiser namba T634 AKN...
Back
Top Bottom