Recent content by Chilemba wamela pamputi

  1. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu hajaokotwa, ni System wa Kamati Kuu ya CCM toka 2002

    Achia ngazi Kwa haki uone kama wengine hawafanyi , kwani wanao Fanya hela wanatoa wapi si nizakwetu wananchi
  2. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi Kamanda Muliro anadhani Uchaguzi ni kutangaza tarehe na kugawa maboksi tu?

    Kusoma nyakati no jambo gumu sana , tumbo halikuwahi kumuacha youda iskarioti salama
  3. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Mhuni kakutana na gangwe

    We jamaa umeshindikana
  4. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Polepole analalamika rafu za JK kumbeba Samia urais CCM 2025, lakini alifurahia rafu za JK 2015 zilizopelekea Magufuli kugombea urais na kushinda!

    Kwanini Kila rafu ya jk huwa inaleta matokeo hasi sana , namkumbuka 2015 alileta figisu hizo alafu akiingia mtu mwingine ikulu Sasa siijui shida huwa inakuwa wapi ? Anyway ngoja tuendeles kula mtori nyama tutazikuta chini.
  5. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Kuhusu Awamu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    kwa nilivyomuelewa humphrey polepole kwa namna ambavyo alijaribu kuelezea, alieleza walau kwa namna ya kutosisitiza sana ya kwamba kuna baadhi ya watu ambao kimsingi kwa desturi za chama cha mapinduzi hawapaswi kuwa marais tena akiwemo waziri mkuu makamu wa rais kwa sababu wao wamekwisha fanya...
  6. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa YouTube Tanzania Tangu saa Tano haifanyi kazi

    Haya ndo mambo ya hovyo Kwa walipa Kodi , yaani unalipwa Kodi alafu unazingua kwenye huduma kana kwamba huoni manufaa ya kwanini huna uhalali wa kuendelea kukalia ofisi za uma kama UNAWEZA kufuata matajwa ya tumbo lako
  7. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Makosa 6 ya Hali ya juu kwenye upande wa Teknolojia ulimwenguni yaliyotokea

    Kununua mkongo wa taiga lakini mpaka Leo bado Kuna maeneo yanasumbua internet na bei ya vifurushi ipo juu
  8. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Maria spaces unafanya kazi nzuri na wachangiaji wa mijadala yako, but observe objectivity kwa wachangiaji wako

    Imetokea nini ? Kwani lisu amefanya kosa Gani ? Sasa ukitaka kujijitetea au kuelekeza shutma sehemu Fulani , lazma uwe na hakika ya kwamba huko unakoelekeza shutuma ni sahihi , Sasa lisu yupo gerezani wewe unamwandika humu wa nini wewe nenda wandikie hao jamaa wa maria space na siyo lisu hiyo ni...
  9. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Kuna Mtu Mnafiki kaandaliwa Dongo hilo na atajuta Kumchokoza mwenye Kisu chake Kikali na Kisiwa chake cha Kihistoria Tanzania

    Sasa wewe nawe ni wakumkosoa GENTA Kwa kweli tumeingiliwa ,GENTA , 🎤 hello GENTA au unasema Gani?
  10. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

    Ushahidi please , mbona walio lelewa miaka mingi ndiyo wameifikisha nchi hapa ilipo na kuuza Mali za nchi yetu Kwa miaka mingi Kwa wageni , mm nadhani hapa siyo kuzaliwa au kutoka ukoo wa ccm hapa msingi je katika wakati wake aliweza kufanya nini Cha maana katika chama au kwenye ubaloz
  11. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana

    Siyo upepo wa online kwani hujawahi kusikia kutekwa Kwa kina mdude au soka au kibao , aaaaaaah acha unafiki wewe ugali uwkiuendekeza saana unukupunguzia heshma kaka. kama una miaka arubaini juwa umebakiz ishirini na sababa tuu Kwa ahadi za Mungu mwenyewe mwili hauna kazi Tena huo kaka , una...
  12. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania GE2025 WanaCCM wengi wanalalamika kimya kimya kwamba hata kama inatolewa fomu 1, Mbona yeye hata hiyo hajachukua, kapitishwaje?

    Basi kama hiyo ndiyo shida si ni kikwete apunzike tuu hata akialikwa , kwani shida iko wapi? Ok. Basi kikwete aendelee kushiriki lakini atashriki mpaka lini? Sawa bado anatamani madaraka lakini je kwani katiba inamkataza kugombea Tena ikiwa katiba itabadilika? Kama hivyo ndivyo basi katiba...
  13. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Kinacho waponza Lissu na Chadema ni kutokujua hesabu. Nashauri Lissu ukitoka ndani rudi darasani ukasome upya hesabu

    Feform hazikwepeki kama amri ya kifo Kwa mustakabali mwema wa nchi yetu, watu wanovunja Sheria wanapata uhalali wapi wa kuwawajibisha wengine kisheria? Huu ni unyama usio kuwa na kumbukumbu ya kesho yetu
  14. Chilemba wamela pamputi

    JamiiForums Tanzania Ona Visivyoonekana

    Shukrani mkuu na mm nakutangazia neema maishani mwako , mungu akuongezee uzidi kufanna maishani uyafaidi matunda ya nchi ambayo Bwana alikuweka humo , shida ,magonjwa njaa na taabu vikawe mbali na familia yako , Kwa maana umejitolea kuwa kumbusha Wana wa mungu wapasayo kuya tenda ili nao wafaidi...
Back
Top Bottom