Andiko lingine kuu kutoka kwa mastermind Dizasta, safi sana!
Serikali inasema haina dini au haihusiani a mambo ya imani, lakini cha ajabu watu wanaounda serikali muda wote wapo tayari kuweka wazi na kuhalalisha imani na matumaini yao ya kidini kwa umma, hata kama wapo kwenye majukwaa ambapo...
Salamu! pongezi sana kwako Dizasta kwa uandishi huu makini uliojitofautisha! uandishi wako umewasilisha mawazo muhimu sana kwa ustadi wa hali ya juu, pia andiko limepambwa na lugha tamu sana, maana nimejifunza misamiati mipya ya kiswahili hapa.
Hili andiko lisipochukua nafasi ya kwanza ya...
Nimeamua kuandika kuhusu swala la uvuvi haramu hapa nchini hasa nikiangazia ziwa Victoria Kwa sababu nina uzoefu mzuri kwenye shughuli za uvuvi. Nitaanza kwa kueleza maana uvuvi haramu na hali ya uvuvi haramu hapa nchini (hasa ziwa Victoria), athari zake na wajibu wa wananchi katika kuzuia uvuvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.