-Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya viwanja vya Tanzania 26 February 2025 aliitisha Mkutano na waandishi wa habari na kutangaza kuwa zoezi la kulipa fidia kwa wakazi wa kipunguni litaanza Machi 2025.
-Na jumla ya 143.6 billion zitalipwa kutoka shs7.7 billion ambazo wangelipwa kwa mujibu tathimini ya...
Waziri Ridhawan Kikwete,tunaomba ufafanuzi kwa nini wastaafu wa sekta binafsi na watumishi wa Serikali wa operational service ambao walikuwa wanachangia mfuko wa NSSF hawakulipwa nyongeza ya 2% ya pension zao kama ulivyolipwa wenzao wa PSSSF.
Michango ya watumishi wa umma na sekta binafsi...
Vyama hivyo vilisimamisha wagombea wao kwenye uchaguzi huu na vimepata viti vingapi.Au walikuwa waangalizi kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Kumbe kuna vita vya nafasi au vyeo, siyo uzalendo na utetezi wa wananchi.Wanagombea fito wakati wanajenga nyumba moja.
Kama wanaokosa vyeo wanahama upinzani, kwenda chama tawala.Kuna siku utarudi mfumo wa chama kimoja.
Wenye dhamana na Mamlaka husika angalieni kama taarifa hizi Zina ukweli,kwa maana TRA na Tanapa na NCAA zote ni taasisi za Serikali.TRA Inakusanya Kodi kwa wafanya biashara na TANAPA na NCAA zipo chini ya Msajili wa Hazina na zinatoa gawio kwa Serikali
Atapita kwa goli la mkono,wagombea wengine fomu zao hazitapokelewa au zikipokelewa zitaharibiwa kwa kuwekewa vema vyumba vyote kwa maelezo hawajui kusoma au hawakujaza vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.