Recent content by chikawe

  1. C

    Sababu za kitaalamu juu ya korosho zilizorudishwa na serikali kwa wakulima

    Hakuna ukweli wowote wakulima ni kilio Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Sababu za kitaalamu juu ya korosho zilizorudishwa na serikali kwa wakulima

    Mkuu acha kupotosha watu.. Me mwenyewe ni certified quality controller wa raw cashew nuts swala la wataalamu kutokuwepo kwenye maghala ya ushirika nitakupinga kwa hoja na wala si kwa kutumia misulo. Acha kupotosha muungwana akivuliwa nguo huchutama. Ilikuwa ni busara tu kukubali kuwa msimu...
  3. C

    BAVICHA Wapewa Tuzo Kwa Kumuenzi Nyerere

    fikiri kwa kutumia kichwa ndg, LISU kutokana katiba ya chama hayumo baraza la vijana la Chadema
  4. C

    Kafulila: Mahitaji ya watanzania kwa sasa yako UKAWA

    umeniwah hii comment ilikuwa yakwangu, ila ww ni mwelevu. Uko sawa.
  5. C

    Tuzo ya Mwanasiasa Kijana Mwenye Mafanikio

    alafu wachangiaji lazma muwe makini.... Zitto hayupo kwenye ujana tena, kwa kuzngatia vigezo vya umri
  6. C

    Misingi kumi ya ACT-Tanzania

    mbona umeniwah mkuu, umeiba post yng, ila poa umenisaidia. Hizo ndizo sifa kuu za Act, zingine ni mbwembwe tu
  7. C

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamis 2 Oktoba 2014 - Matokeo ya Kupitisha Ibara za Rasimu ya Katiba

    Ukumbi wa bunge wageuka dancing hall, hii ni aibu kubwa kwa watu makini kama hawa, wanaojifunza toka kwao waige nini?
  8. C

    Kauli ya RPC wa Mbeya juu ya maandamano ya CHADEMA

    Na mimi nikikutana na polisi aliyepanga mtaani mida ya jioni kichochoroni, nitakachomfanya, ataenda kumsimulia chagonja
  9. C

    Kwa uongozi huu wa CHADEMA, CCM chini ya Kinana njia nyeupe 2015

    Kweli nyani haoni makalio yake, Mangula yupo toka utawala wa Mwinyi, mkaona hafai kitu kwenye utawala wa Kiwete... Mambo yalivyowachachia mumemrudisha, hii ngoma nzito sio kila mwenye kibwaya anaweza kuicheza. Weka watu makini ili Maccm yahanye. Mtapata ugonjwa wa kiwewe sana kuhusu CHADEMA...
  10. C

    BAVICHA watoa tamko kuhusu maandamano

    Unatukaribisha wewe kama nani? Ndo tatizo la CCM mnazani hii nchi mumemilikishwa milele.... Someni basi hata alama za nyakati
  11. C

    UVCCM Arusha wamuonya Mbowe na CHADEMA

    mbona hata kuandika kwenyewe ni shida? Hakuna alama za huandishi muundo hauna upatanisho, CCM sina hamu nayo, njooni mtoe Div 5 zenu huku jukwaan hatuztaki
  12. C

    Live Updates: Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa CHADEMA ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam...

    kwani simiyu iko wapi paka shume wewe? Mijitu mingine imekaa kushabikia tu hata mambo yenye tija yanapingwa, Lumumba inawaharibu sana vijana wenzetu. Mawazo na fikira zenu vimegandishwa kama theluji, bado kutoa tiii...GOOO!
  13. C

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Viongozi wa BAVICHA Taifa - Mlimani City, Dar

    Mbona sanaa sasa? Watu tumeacha shughuli zetu ili tuangalie makamanda wetu ila wanatuwekea taarabu, jamani vp!
  14. C

    Mh. Rais, bila shaka utakuwa unaifahamu vizuri historia ya Farao

    Asante Mh. Lema, kuna shahiri moja hivi linaitwa "Horrow heads" kwa maelezo ya hilo shairi linareflect kwa viongozi wa CCM, hawatumii maarifa wala hawajisumbui kuzishughulisha bongo zao, wamejawa kiburi na jeuri na kujiona wao ni kila kitu ndani ya taifa hili. Ila kaka Lema umesema kuwa kuna...
Back
Top Bottom