Jamani tuache ushabiki wa kijinga hivi kweli ukitafali chadema jinsi walivokomaa! hawawezi kabisa kukata mtu na panga wakate na panga ili wapate nini kama kukubalika wanakubalika kila kona ya nchi sasa kwanini watumie mapanga hizo ni njama zemu ili mchafue chama kubwa hatudanganyiki ng'oo
Nimekua nikitafakali mambo mengi juu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibal ukiwemo umuhim wa huu muungano nini walifikilia wazee wetu mpaka kupelekea muungano faida za huu muungano watanganyika na wazanzibal wananufaka sawa sawa kupitia huu muungano hayo ni machache kati ya mengi ninayoyafikilia...
Mimi kwa binafsi sielewi maana ya muungano umuhim wala faida na ninaimani watanzania wengi hawauelewi vizuli muungano wanachojua tanganyika na zanziba ziliungana basi ninachoomba kama kuna msomaji anaelewa vizuli juu ya muungano anisaidie na kwa faida ya wasioelewa kama mimi wangeelezwa juu ya...
selikali 3 ndo njia pekee ya kuunusulu muungano wetu bunge la katiba pekee sio jibu la miswada iliopo kwenye katiba ni vema washilikishwe wananchi wote kila kipengele kitakachokua kinaleta utata tukilitegemea bunge la katiba ni kaukucha kwenye mwili bila ukucha mwili usiende basi tusipo yajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.