Recent content by chief04

  1. C

    PreGE2025 Mnyika: Msajili aseme amempa Siku ngapi Makalla madai ya CHADEMA kununua Virusi vya Ebola

    Ukitafuta chimbuko la haya mambo utagundua Mwalimu Nyerere ndo alituchoma
  2. C

    Kuna uzembe wa kusimamia Kampuni za kuzoa taka, baadhi hazizingatii usalama wa Wafanyakazi

    Hii nchi ngum sana mkuu, kuna taasisi zingine kuchukua hatua hadi kuwe na masilahi...sitaki kuamini km hawajaliona hili
  3. C

    LGE2024 CHADEMA Iringa mjini wasusia Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Sidhani km hamkujua hayo yatatokea pale mlipokubali kuingia kwenye uchaguzi huku mkijua TAMISEMI ndo wasimamizi
  4. C

    Hivi haya Mabasi 50+ ya Mwendokasi ambayo hayatumiki kwa zaidi ya Miezi 6, Serikali ina mpango gani?

    Unaambiwa hii ndo biashara ya kwanza duniani kufa kutokana na kuzidiwa wateja
  5. C

    Watoa Huduma za Intaneti watulipe fidia kwa kutukosesha huduma

    Hii nchi ngumu sanaa, sidhani hii kitu inaweza kufanyika. Wiki iliyopita kuna kiwanda cha Kutengeneza mikate-Japan waliahidi kutoa fidia kwa watumiaji wa mikate yao baada ya kukuta mabaki ya panya kwenye bidhaa yao, licha ya kuthibitisha kwamba hakujatokea tatizo lolote kiafya kwa watumiaji bado...
  6. C

    Shinyanga: Kituo cha Afya chagundulika kuhifadhi Damu kwenye Majokofu ya nyumbani

    Hii ni changamoto kubwa kwa Hospital nyingi, tena wakati mwingine vifaa vinanunuliwa havina kiwango au haviendani na Technology iliyopo. Shida mwongozo uliopo katika Hospital za serikali, anaehusika na manunuzi ya vifaa tiba ni mfamasia na sio "mtaalamu wa vifaa tiba/Biomedical Engineer" sasa...
Back
Top Bottom