Recent content by Chief Tematema

  1. C

    Natafuta soko la tikiti

    Mimi navuna Wikiendi ijayo. Kama upo serious ni-pm namba yako ya whatsapp nikurushie picha ili uone ukubwa wa matikiti, ndipo tuelewane bei.
  2. C

    Natafuta soko la tikiti

    Mimi navuka wikiendi ijayo. Kama upo serious ni-pm namba yako ya whatsapp nikurushie picha ili uone ukubwa wa matikiti, ndipo tuelewane bei.
  3. C

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Msaada wandugu. Wapi naweza kupata mbolea ya Yara Winner na Yara Nitrabo? Maana nimezunguka sana, kila mahali wanasema hawana.
Back
Top Bottom