Recent content by Chief-Mkwawa

  1. Chief-Mkwawa

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Hazipo, red magic ni Zte, Kama Huawei zina ban Nchi nyingi. Mpaka uagizishie toka nje.
  2. Chief-Mkwawa

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Hawataki kulipa tech za watu wanazotumia, Oppo alikuwepo Global alivyoingia masoko makubwa wakamshtaki akakimbia.
  3. Chief-Mkwawa

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Pixel hardware yao haina Nguvu sana, mtumiaji wa kawaida hawezi ona utofauti ila kwa power user hataweza kurun mambo mengi. Pia mambo mengine kama chaji, modem etc ipo nyuma.
  4. Chief-Mkwawa

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Sahihi, OnePlus ilikua inatoa clean option kwa watu wengi Ila sasa hivi Oppo anawaingilia Sana na kuna tetesi soon itafungwa, maybe Motorola still inatoa hio clean experience. Google Wana clean software ila hardware zao ni so and so.
  5. Chief-Mkwawa

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Hizo UI zenyewe flagship na low-end zinatofautiana, hapa natumia kimeo cha OnePlus low-end kipo Tofauti kabisa na flagship zao nilizotumia, kina bugs kama zote, same kwa Samsung low-end zao zina one UI core ambayo haina features kama midrange na flagship zao ambazo hutumia full one UI. Hardware...
  6. Chief-Mkwawa

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Sema pia nimesoma Mahala printer hizo za wino wa chupa zina tabia ya kuganda usipotumia, atleast kwa wiki uwe umeprint, kama Una print mara 10 kila wiki haina neno, otherwise kama unapitisha wiki hujaprint unashauriwa hizi za kawaida inkjet
  7. Chief-Mkwawa

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Epson Ecotank series ndio zina huo wino wa kujaza, bei zake online naona humo humo 400K, wale jamaa wa movie kuprint Macover ndo printer zao hizo. Ngoja wengine wajazie nao kwa experience zao.
  8. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    GB ngapi unawekewa kwenye line
  9. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Fiber haina neno, kokote ina speed, hizo line ukague Tu mwenyewe Eneo lako, ila TTCL Wana Roam mitandao mingine, kwa uelewa wangu hawana kabisa 3G huwa wanachukua mitandao mingine, kama 3G ya Voda ama Airtel ipo vizuri kwako it's possible kuitumia hio Kupata speed nzuri.
  10. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Line unapewa ili uweke kwenye simu, fiber hazina line, so nyumbani unatumia fiber na mtaani unapewa line ya kuzugia ambayo wanakupa GB, SMS na dakika za bure kila mwezi.
  11. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mtandao wao unakufa wasipojiongeza kama hivi tutausahau. GB za bure hata kama zipo slow zinasaidia mkuu, pia hawa si Wana roam Tigo/Airtel 3G kama sijakosea,
  12. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Yah ni hio Triple hub, naona wameandika 2 SIM maybe moja ni mezani ama Una choice zote ziwe kwenye simu.
  13. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Siku hizi Wana vifurushi vya 3 in one pia, ukifunga fiber wanakupa na simu ya mezani na GB za kutosha kwenye line ya simu. Mi pia nawafikiria
  14. Chief-Mkwawa

    Kati ya iPhone 17 pro max na Samsung Galaxy S26 Utra ninunue simu ipi ?

    Kabla ya kufAnya Uamuzi wa simu Fanya Uamuzi wa os Kwanza, iOS na Android ipi kwako ipo fresh? Kama hujali software na matumizi ni mAdogo then ndio unakuja kwenye model husika. Samsung kama unanunua Tanzania Wana best warranty, inayocover Hadi kioo, pia kwenye Mambo ya Ai wapo vizuri...
  15. Chief-Mkwawa

    Msaada Jinsi ya Ku share Internet ya Simu Yangu na Smart tv

    Kabla hujafika hapo add network kunakua na option ya kusearch network, search Kwanza chagua hotspot yako then weka password.
Back
Top Bottom