https://digit4g.com/product/digit4g-energy
I believe hizi ndio specification zake Mtk MT6739 ndio soc ina power hio device, Quad core Cortex A53, soc nzuri tu ukiikuta kwenye Tecno pengine ingekugharimu 150-250K.
Kwa bei ya 60K hii simu ni deal zuri sana mkuu, sijajua tu mambo mengine kama...
Kwa wewe unaeanza yes, ila mashamba ya Nazi mostly watu wananunua ama wanarithi. Na unapanda minazi mipya wakati minazi ya zamani ipo, so ukishafika level ya kuvuna haina shida tena.
Mkwezi, ufuaji, usafirishaji ni gharama ndogo, 5M ni at minimum kabisa nimepigia, even ukitoa gharama zote hizo...
Hapo wanataka kuhakikisha kama ni wewe, unaweza kulogin na browser ama click hio button ya Authenticate wanaweza kukwambia ufanye kitu fulani kufungua account.
Mnazi ambao ni wa asili hii yetu ambayo hata haizai sana inatoa Nazi 70-120 kwa mwaka, heka moja kama minazi 140, hizo ni Nazi 10,000 mpaka 15,000, hata kama unauza bei ya Chini kama 500 inaweza fika 5M ama zaidi.
Tanga mjini imezungukwa na Muheza, mkinga na pangani fukwe ya Bahari ya hindi...
Katika mji ambao unatembeleka usiku basi Tanga, kuna taa za barabarani na wenyeji wana utamaduni wa kuweka Taa za nje zimulike.
Kawaida kukuta watu wanatembea saa 7 ama 8 usiku.
Ukiskia baikoo, vigodoro, wala mirungi etc zote hizo ni night life, si kweli kwamba saa 3 watu wame lala.
Option nyengine ya maana ni kutumia i3 gen ya 12, hii ndio equivalent ya 5600G perfomance wise na ulaji umeme, uhakika chini ya watts 60 upande wa cpu.
Kwa China hii unaweza ipata Chini ya laki 5 ikiwa haina Gpu, sema components za kichina mobo kama Maxsun, sababu ni lowend cpu haina neno...
Hazikawii kuua mobo hizo,
kwa aliexpress/ebay zipo hizi psu, sema bei imechangamka na usafiri ni kama 150K hivi.
Ndio maana nikaulizia Machinga kama unaweza pata,
Mjini, oyster bay, masaki etc karibia Cafe na Hotel zote zina wifi.
Sema siku hizi wifi ni nyingi sana sio lazima uende huko, uliza tu humu kuna watu wanauza Access hadi 2000 kwa siku unlimited.
Watu 30 kama mnajiweza mara nyingi kutoka 120k mpaka 150K ni kama mna double speed. Mfano Airtel kwa 150k ni 50mbps, kwangu naona hii ina value sana.
Cha muhimu mkuu angalia eneo lako kama kuna 5G, japo 4G pia inakubali ila vyema hakikisha kama 5G ipo, inasaidia sana kubeba capacity kubwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.