Haitagoma Kusoma line ila kuna bands haina,
Kwa 4G Tanzania tunatumia band 3, 7 na 20, hio simu ina band 3 Tu haina band 7 na 20.
Ina maana Voda na Airtel haitasumbua, kwa Tigo ukiwa Mjini haitasumbua ila nje ya mji itasumbua na Halotel haitashika 4G. Kwenye 3G na 2G utapata, so angalia...