Recent content by Chief-Mkwawa

  1. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Sharp aquos sense 8

    Haitagoma Kusoma line ila kuna bands haina, Kwa 4G Tanzania tunatumia band 3, 7 na 20, hio simu ina band 3 Tu haina band 7 na 20. Ina maana Voda na Airtel haitasumbua, kwa Tigo ukiwa Mjini haitasumbua ila nje ya mji itasumbua na Halotel haitashika 4G. Kwenye 3G na 2G utapata, so angalia...
  2. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Sharp aquos sense 8

    Mazuri ya simu za kijapan 1. Ina esim, Muhimu siku hizi sababu mitandao yetu mingi inasuport, inasaidia Sana kama Una line ambazo huzitumii Sana. 2. Micro SD na 3.5MM jack ambazo simu nyingi za siku hizi hupati. 3. Ina usb 3.2, feature ambayo simu chache Sana inayo, unaweza Tumia simu kama...
  3. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Sharp aquos sense 8

    Simu yenye touch nzuri huwezi kosea kutype
  4. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania TTCL FIBE wanachukua mda gani mpaka kuja kufunga?

    70K hata watu 50-100 mnatumia matumizi ya kawaida Kuhusu kukufungia hapo ni bahati yako, ukiwa mjanja na kuwasumbua hata wiki otherwise unaweza kukaa miaka hao jamaa wasije kufunga.
  5. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Plan B ya kuingia X(Twitter) Natumia Huawei Nova 2s

    Mkuu simu yako ina android ama Harmony? Una access ya playstore ama store tu ya Huawei?
  6. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ngumu kujua ungemuuliza muuzaji, ama hata kama ana specific model akuambie ni model gani tucheki online kama zina dashboard. Maana hata modern mpya za mitandao ya simu sio kama za zamani dashboard zake sio za kudownload ni za web zinafungukia kwenye browser.
  7. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ndio kwa maelezo hiki kina function pia kama modem za zamani, ni 2 in 1 WiFi router na usb modem.
  8. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kama location yako 3G ya Halotel inapiga KAZI vizuri then bei sio mbaya Chukua mkuu.
  9. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kitashika tu 3G UMTS B1 ni 2100mhz mitandao yote Tanzania unatumia band hio. Ila kwenye 4G Halotel wanatumia B7, so haitashika hapo, Pia Halotel ina benefit ukiwa ukiwa na LTE advance hicho kina LTE ya zamani Tu. Kama mkuu huna ulazima na kifaa portable tafuta router za Airtel 5G , ni much...
  10. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kama Wana cap 15MBps kweli basi ni fair, it's not ideal Ila unatoboa vizuri matumizi ya kawaida. Na hizo data za Active customers kama ni za kweli hongera kwao, wamejitahidi.
  11. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wangefanya Tu kama DStv, waweke vifurushi vya wauza Internet na router maalum zenye captive portal, Africa hii sio lazima kila kitu kuiga wazungu.
  12. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Bora wangebaki na Ile Ile Tu 20mbps, kuongeza speed halafu kulimit watu data kwenye fiber hakumake sense yoyote, kutaongeza Tu kelele. Jambo zuri ni kwamba wengine nao wanasambaa Sana nje ya katikati ya jiji, soon watakimbiwa TTCL, advantage Yao Vs wengine imeondoka.
  13. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Unaweza sema router Yao ni basic mno kama Zuku Tu, kama Una mpango wa kuuza Router nyengine inakuhusu, inabidi ununue.
  14. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sio lazima ureplace, unatumia waya wa Ethernet kuunganisha router mbili, sababu Ethernet ina Nguvu kuliko WiFi haziwi bottlenecked so router ulionunua ya pili ndio unafanya configuration zako, kama unauza ama ni office etc.
Back
Top Bottom