Recent content by Chief-Mkwawa

  1. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Chakula cha KFC sikielewi kabisa

    Fast food aka hutakiwi kukaa kusubiria Chakula. KFC ni fast food restaurant, vitu vinawekwa spice na kila kitu vinakaa kwenye fridge vinasubiria order vinaonjeshwa mafuta unakula. Sio Tu KFC Bali fast food zote zipo hivyo, Merry brown, subway etc.
  2. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hao ni CTV mkuu, customer care Yao wanaijua wenyewe, wapo jmall pale, sababu unaona haieleweki hao jamaa Asili Yao ni watu wa cable, zile wanaleta waya nyumbani unaona TV, then waka improve baadae na kuleta internet. Kama kuna MTU anataka vyema aende ofisi zao ama awapigie, hio mifumo Yao ya...
  3. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hata Tanzania mkuu ukitafuta no name fiber ambao hawana coverage kubwa unapata hizo bei ndogo, faiba fasta ambao ni 35K kwa 20MBps ambayo haitofautiani Sana na hio. Pia fiber zinaenda na Idadi ya watumiaji, ni expensive Sana kulay fiber, ila kuongeza watumiaji ni rahisi, so Jinsi...
  4. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Wanao assemble simu sio skilled labour hata huku kwetu wamejaa kibao. Semina ya wiki kadhaa hata wewe unafanya bila tatizo. Wakati iPhone zinaanza china mshahara ulikua Dola 200, hata sasa hivi India kiwanda cha iPhone mshahara ni kama laki 4-5...
  5. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Sisi hatuna Tu umoja ila Nchi nyingi Duniani ambazo zina watu wengi wanalazimisha assembling ifanyike kwao, Assembling ni kuunga Tu motherboard, speaker, kioo na vifaa vingine, kama fundi mtaani anafungua simu, kubadili kifaa na kufunga ikafanya KAZI kwanini assembling ishindikane? Tunaweza...
  6. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Ku assemble simu si Kazi, ni kitu kinawezekana kabisa, pia hongera Yao kuweka wazi Wana assemble badala ya kutumia siasa za kuanza kuclaim gunduzi za watu. Waache wa assemble Ajira zitaongezeka.
  7. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa MacBook, niende na ipi kati ya MacBook Neo (Brand New), Air M2 (8GB/256GB) au Pro (2019, 16GB/512GB)!

    Ndio, utakua limited na latest software Ila hakuna kinachokuzuia kutumia software ya zamani, office zipo za offline za kipindi hiko kama 2010, 2013 etc
  8. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet ina kikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Tanga huku Tuna Halotel, TTCL na wengine wanaresale internet ya Tigo, hao wanao resale nao ping Yao kubwa hivyo hivyo japo Wana supply kwa fiber. Wilayani ndio bado fiber changamoto.
  9. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Tatizo la iPhone 14 kutochaji tatizo linaweza kuwa nini? Nimejaribu Njia zote

    I second this, tafuta wireless charger ichaji, kama inakubali ina maana simu yako nzima tatizo ni charging port, kama Hadi wireless charger inazingua ni tatizo kubwa zaidi.
  10. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet ina kikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Mikoani pia kuna Fiber labda kama unamaanisha wilayani
  11. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kama Una need ya Mac address basi stalker portal player ipo advanced zaidi. Kama unataka Tu links za kawaida IPTV smarters pro ipo version ya windows Kama Una link Tu moja unataka kutest hata VLC unaweza Tumia.
  12. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa MacBook, niende na ipi kati ya MacBook Neo (Brand New), Air M2 (8GB/256GB) au Pro (2019, 16GB/512GB)!

    Air M2, japo kwa hio budget unaweza pata machine nzuri zaidi, mfano uka drop Mpaka M1 ila ukatafuta yenye ram kubwa zaidi. Long story short usinunue MacBook za intel, zimepitwa na wakati ulimwengu wa MacBook, watakudanganya hao wauzaji ila ni inferior product kwa M series za Apple wenyewe...
  13. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Neso ni net solution ni wa mda hawa jamaa wapo Mjini Ila sijawahi watumia.
  14. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Kumbe Infinix ndio mwanzilishi wa app lock kwenye simu za Android ulimwenguni

    App lock zipo siku nyingi hata kabla Android haijazaliwa, tumezitumia kwenye symbian miaka zaidi ya 20 sasa.
Back
Top Bottom