Recent content by Chief-Mkwawa

  1. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mbeya komaa na TTCL si Wana fiber huko?
  2. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wanatumia waya Za orange, hao wakija hata sio tabu kuwajua.
  3. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Graphics wise Vega zipo outdated, ukipata yenye rdna GPU ni nzuri zaidi, sema sio nyingi mtaani inabidi utafute Sana, Options ni Ryzen zinazoishiwa na 35, 40 na 45 mfano Ryzen 7840U, 7735U, 7640, 8640, 8840 etc. Tatizo la wauzaji wengi watakwambia Tu hii ina Ryzen inabidi uanze kugoogle...
  4. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Unless pc ina tatizo, bei sio mbaya, hio ni Ryzen 5650U perfomance nzuri, ram 16GB, hapo ambacho ni kidogo ni ssd tu, ila kwa hio bei na hizo specs sio mbaya. Ila kama kawaida kibongo bongo unamshusha huyo, bei nyingi za online sio final.
  5. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Tutafika huko ila mpaka userbase iwe kubwa, maana usipolipa fixed cost huwezi Ku run biashara.
  6. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Je wajua: Aliyetengeneza VLC aligoma kuuza licha ya kupewa offer nono?

    VLC inaingiza hayo mamilioni kwa mwaka, sio software masikini kama unavyofkiria,
  7. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Yas 48 kwenye site Yao, japo ni 20mbps, pia wao kwa maeneo waliochagua hawana competition kivile.
  8. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Betri zinazozungumziwa hapo ni solid state za sasa ambazo ni superior kwa lithium
  9. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    We unaleta stori za vijiweni, hio simu ya Alexander bell kwenye smartphone ya sasa ni item moja kwenye mamilioni ya patents. Muulize kaka yako ama MTU yoyote aliekua miaka ya mwanzoni ya 2000 Tanzania ulikua unaingia vipi internet, mitandao yote Tanzania walikua wakitumia Either modem za Huawei...
  10. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Si kila kitu kimegunduliwa west, mfano hizi battery mpya za Silicon ni tech ya Mchina, pia kwa Muda mrefu Sana west hakuwa pioneer wa simu, kama wewe ni mfuatiliaji wa simu miaka 15 iliopita na kuendelea Makampuni kama Nokia, Sony/Ericson, Huawei, Samsung etc ndio yalikua yakitawala, Nokia...
  11. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Hio sio njia mpya ni 3D stacking, mfumo ni ule ule wa kutengeneza processor haujabadilika Bali transistor zinapangwa kama ngazi kuelekea juu, wanazi stack. Mfano mzuri ni CPU za AMD za X3D zipo hivyo
  12. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kujiunga bando kwenye pocket wifi ya Yas.....sijui ndio wanaita post paid, naomba menu yake

    Una app ya mixx? Kama unayo Ingia kwenye app, chagua mobile shop then home internet, kama kilisajiliwa na line yako utakuta hapo, kama ni line ya MTU mwengine chagua buy for others kisha fuata maelekezo.
  13. Chief-Mkwawa

    JamiiForums Tanzania Shida Ni Earphones Au Ni Simu?

    Unaweza kuizima Ila sio solution, kwa kuanzia tafuta brand nzuri, hata earphones za vitochi nzuri kama za Samsung, uone kama tatizo linaendelea. Kwenye setting za Google Assistant jaribu kuweka off "hey Google" ama alternative phrase ambayo inaweza kuiamsha Google assistant kwa Sauti.
Back
Top Bottom