Recent content by Chief koh

  1. C

    Kiwanda cha sukari Kagera na Serikali ya Uganda wavyohujumu Serikali sakata la sukari

    Rudi kafanye utafiti sukari ya kagera inauzwa tanzania tu.
  2. C

    Kiwanda cha sukari Kagera na Serikali ya Uganda wavyohujumu Serikali sakata la sukari

    Sio kweli kabisa....rudi ukafanye utafiti tena. Sukari ya kagera inauzwa ndani nchini.
  3. C

    Kiwanda cha sukari Kagera na Serikali ya Uganda wavyohujumu Serikali sakata la sukari

    Nimesoma hii taarifa yote, hakuna ukweli wowote katika taarifa hii. Kwanza si kweli kweli kuwa umeme toka uganda ni umeme wa uhakika na kuwa haukatiki mara kwa mara, mim ni Engineer kiwandani, mf. Tar 24 na 25 february umeme ulikatika toka uganda kwa masaa zaidi 12 kwa siku hizo, uliza tanesco...
  4. C

    Kigoma: Mkuu wa Wilaya ya Kasulu avuliwa ukuu wa wilaya na kurudishwa kazi ya awali jeshini

    Leo unasema nchi dhaifu..kesho ukipigishwa kwata unasema udikteta
  5. C

    Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

    Hiz akili zingine duuuh...eeeh Mungu tusaidie watanzania kufikiri
  6. C

    No orchid for Ms. Wema Sepetu

    Umesems vema bro.
  7. C

    DC Hapi: Ajira ni aina fulani ya mfumo wa utumwa; Ashauri wasomi kujiajiri

    Hawa wanasiasa watu wa ajabu sana...anasisitiza watu kujiajiri ilhali nayeye mwenyewe kaajiriwa...kuajiriwa hakutaisha duniani...hata ukiwa mjasiriamali utahitaji watu wa kuwaajiri. Hutafanya kazi zote mwenyewe
  8. C

    Kwa speed hii ya Rais Magufuli tutafika mbali sana, tutamchukia lakini tutamsifu later

    Shirkisha akili yako kidooogo na uondoe mahaba then utaelewa ni speed gani inayozungumzwa
  9. C

    Lissu: Tunanyanyaswa Bungeni, tukitaka kuzungumza tunakatazwa, tukibisha tunakabiliwa na Polisi

    Hawa jamaa wanapenda sana public sympathy...watuache tufanye kazi aisee
  10. C

    Wabunge wa Upinzani watoka bungeni wakiwa wameziba midomo yao

    Sasa nawewe una shida...kukiwa na harufu mbaya unaziba pua au mdomo?
  11. C

    Wabunge wa Upinzani watoka bungeni wakiwa wameziba midomo yao

    Sasa nawewe una shida...kukiwa na harufu mbaya unaziba pua au mdomo?
  12. C

    Kutoka Arusha: Kongamano la wasomi na wafanyabiashara, yupo Dr. Mashinji - Katibu Mkuu wa CHADEMA

    Hoja yako ni kweli aisee..huo ni mkutano wa chadema...wanatuzuga tu
  13. C

    Kwanini CHADEMA wanapata kigugumizi wanapohojiwa kuhusu ahadi za wabunge wao?

    Sasa kama hawakusanyi kodi wanaahidi ahadi za nini kama wanajua utekelezaji wake unataka kodi ambazo wao hawakusanyi...waache kutoa ahadi
  14. C

    Kagera Sugar na Serikali kama Birthday ya Ronaldo wa Madrid

    HUjaandika kitu cha kueleweka hapo...unataka tupate ujumbe gani eti. Rudi darasani ujifunze kuandika ujumbe.
Back
Top Bottom