Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa Kamati Kuu ya Chama imekutana leo Julai 26, 2015, jijini Dar es Salaam kwenye Kikao Maalum cha dharura kujadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na;
1. Maandalizi ya Chama kuelekea Uchaguzi mkuu.
2. Kupokea taarifa za mchakato wa kura za maoni...
Upendo. Wapiganaji hupendana namna hii. Si maCCM yanapigana hadi kutaka kutoana roho. Kikwete aliwahi kusema hawaaminiami kabisa wanaweza hata kuwekeana sumu...
Na kweli jamaa wanawashughulikia, dah hadi huruma. Wapigwe tu waondoke sasa maana tumechoka sasa utawala huu...
James Lembeli akiwa kazini...kuimaliza CCM.
Mkuu Mkuu Mkuu Meandu haya jamaa bhana. Yamekuja haraka haraka, yamekutana na kisiki, mwe yakaishia kutokuelewa. Sugu kapiga noma. Atawazunguka hivi hivi maCCM tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.