Recent content by Chief hozza

  1. C

    Naenda Tanga kuoa

    Mapenzi ni sanaa na tusikariri.hakuna wachafu kuliko wazungu Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
  2. C

    Naenda Tanga kuoa

    Kuchapiwa ni siri ya ndani,km mabinti nendaaa muhezaa Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
  3. C

    Naenda Tanga kuoa

    Wiki moja haitotosha mana tunasema Wala leo kurudi majaliwa. Vitu vizuri utapata na nina uhakika utaongeza muda Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
  4. C

    Naenda Tanga kuoa

    Mkuu nendaaa pale muheza kwa Wabondei. Mabinti wa na heshima na mapenzi wanayajua. Utanishukuru badaye! Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
  5. C

    Wanaume siku hizi tumekuwa kama Jogoo

    Hawa viumbe hawajawahi kuridhika hata ungekuwa unakesha. Chamsingi piga kwa kujiangalia uwezo wako km ni dk 40 au Lisaa Kamwe huwezi shindana na shimo lile!
  6. C

    Uliwezaje kufanikiwa kimaisha kwa kutumia mbinu au kanuni uliyosoma kwenye kitabu au ushauri?

    Ndugu wanajamvi, Kwenye jamii inayotuzunguka kuna msemo ya wahenga na busara au elimu ambayo ili kusaidia au kukunufaisha na kutuwezesha either Iwe positively au negatively kuwa na nidhamu au kanuni za kimaisha. Naomba tushare baadhi ya hivo Vitu either umesoma, kusikia, kuona au namna...
Back
Top Bottom