Wiki moja haitotosha mana tunasema Wala leo kurudi majaliwa. Vitu vizuri utapata na nina uhakika utaongeza muda
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Mkuu nendaaa pale muheza kwa Wabondei. Mabinti wa na heshima na mapenzi wanayajua. Utanishukuru badaye!
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Hawa viumbe hawajawahi kuridhika hata ungekuwa unakesha. Chamsingi piga kwa kujiangalia uwezo wako km ni dk 40 au Lisaa
Kamwe huwezi shindana na shimo lile!
Ndugu wanajamvi,
Kwenye jamii inayotuzunguka kuna msemo ya wahenga na busara au elimu ambayo ili kusaidia au kukunufaisha na kutuwezesha either Iwe positively au negatively kuwa na nidhamu au kanuni za kimaisha.
Naomba tushare baadhi ya hivo Vitu either umesoma, kusikia, kuona au namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.