Itakua nchi ya kwanza duniani wanamuziki wake wasiimbe masuala ya siasa, ukiangalia historia wanamuziki wetu wamekua wakiimba nyimbo za maudhui ya siasa aidha kwa kuhamasisha maendeleo kwa kusifia juhudi za wanasiasa, nyimbo za kimapinduzi, nyimbo za mashujaa nakadhalika.. sasa siasa yetu bila...
Watumishi wa uma ni wale wote wanaolipwa mshahara na kodi za wananchi, kwa kufafanya hicho walichofanya watu watagushi vyeti na kukimbilia siasa.. Maana kw serikali hii inatoa immune kua mwanasiasa, sheria haikugusi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.