kuna watu mnafurahisha kweli hiv nani kakudanganya ukibadilishana na mwalimu utapangwa kituo alicho toka? hilo halipo mara nyingi wahamiaji huamia kwenye vituo wanavyotaka maana walihami kwa sababu maalum mfano mtu akija meatu vituo vizuri ni hivi:-
mwandoya
mwabusalu
mwabuma
mwakisandu...
jamani ndugu zangu walimu kuna mwalimu yuko wilaya ya meatu anahitaji kuhamia wilaya ya
Geira
sengerema
chato
nyang'hwale idara ya msingi namba zake ni 0755776047
kwani aliyeandika taarifa hii ni mwalimu? la hasha huyu si mwalimu hivi kana daftari la kusaini litakaa kwa mratibu elimu kata hivi walimu watakuwa wanaenda kila siku kwake? kingine sote tunatambua na liko kisheria walimu hawawezi kwenda wote kusoma mfano shahada nafasi 6 stashahada 4 kwa hiyo...
nimechokaaaaaaaaa nani kutoka msalala,ushetu,shy vijijini aje meatu idara ya msingi ni pazuri sana wapendwa msikubali kusimuliwa mjionee ni PM au ni check kwa 0719744900
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.