Recent content by Chiduo

  1. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kuna watu mnafurahisha kweli hiv nani kakudanganya ukibadilishana na mwalimu utapangwa kituo alicho toka? hilo halipo mara nyingi wahamiaji huamia kwenye vituo wanavyotaka maana walihami kwa sababu maalum mfano mtu akija meatu vituo vizuri ni hivi:- mwandoya mwabusalu mwabuma mwakisandu...
  2. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    hakuna shida sema watu home mbali sana meatu iko poa si kama watu wanavyo i sound huku full bata umeme uko vijijini kwa baadhi ya sehemu
  3. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo meatu simiyu nahitaji shinyanga wilaya yoyote my no 0719744900
  4. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani niko meatu nahitaji kwenda wilaya yoyote ya mkoa wa shinyangaaa my no 0719744900
  5. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani ndugu zangu walimu kuna mwalimu yuko wilaya ya meatu anahitaji kuhamia wilaya ya Geira sengerema chato nyang'hwale idara ya msingi namba zake ni 0755776047
  6. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo meatu nahitaji nije kahama msingi jaman mni pm
  7. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    natafuta wa kubadirishana nae idara ya msingi nipo meatu nije kahama,ushetu,mbogwe,shy vijijini,au msalala
  8. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    usijali mim niko tayari kesho tuuu tuanze michakato
  9. C

    Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

    hivi yanga tuna akili kweli cha kukataa mamilioni ya pesa kisa game isirushwevni ufalaaaaaaa tu watu tunataka burudani wao maslahii ny...k
  10. C

    Wilaya ya Itilima Simiyu yafukuza walimu wote wa Shule za Sekondari

    kwani aliyeandika taarifa hii ni mwalimu? la hasha huyu si mwalimu hivi kana daftari la kusaini litakaa kwa mratibu elimu kata hivi walimu watakuwa wanaenda kila siku kwake? kingine sote tunatambua na liko kisheria walimu hawawezi kwenda wote kusoma mfano shahada nafasi 6 stashahada 4 kwa hiyo...
  11. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nimechokaaaaaaaaa nani kutoka msalala,ushetu,shy vijijini aje meatu idara ya msingi ni pazuri sana wapendwa msikubali kusimuliwa mjionee ni PM au ni check kwa 0719744900
  12. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani eeeeeh nahitaji kwenda kahama au shinyanga vijijini uje meatu- simiyu ni PM au nichek kwa 0788873792,0719744900 na 0755464740
  13. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo kinondoni natafuta wa kubadilishana nae toka moro mjini, gairo au muheza! Nicheki kupitia microchidy@gmail.com
Back
Top Bottom