Recent content by chidou

  1. C

    Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Ayatollah kama Ayatollah
  2. C

    Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Naona alitoboa ingawaje ulisema hata toboa sasa sijui hii imekaaje siku zinayoyoma tu.
  3. C

    Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Hii mambo ya Ayatollah yakija kutimia siku hiyo watu watakunywa ujimbii na Kangala vilabu vyote vitaishiwa na wengine watalala vilabuni kwa mashangilio.
  4. C

    Responded Tume yasema waathirika wa Oktoba 29 watapatiwa huduma ya Kisaikolojia

    Hii Tume hata haieleweki kwakweli na sijui kama itakuja kueleweka naona kama wanajichanganya sana mengine wangekuwa wananyamaza tu kuliko kuendelea kujaza watu sumu mtaani.
  5. C

    PostGE2025 Mzee Butiku: Tukae tuzungumze bila fujo vijana watuamini

    Sio yule anayesemekana alimsaliti Polepole kweli? Sasa nani atamsikiliza? Alikuwa anaheshimika sana huyu Mzee.
  6. C

    Kwa nondo toka kwa Padre Kitima, Rais Samia hakuna atakayekuelewa leo. Ni Bora ukae kimya!

    Watu wameshaijadili hutuba yake kabla ya kusomwa, ogopa sana Watu wakikuchukia. Damu za watu mbaya sana zitakufuata mpaka Kaburini. Naomba Mungu wa Mbinguni aendelee kushupaza shingo wasaidizi wake waendelee kumsindikiza shimoni, maana sipati picha baada ya hutuba watu watazidi kujaa sumu kiasi...
  7. C

    PostGE2025 Vilio vitaanza vya watawala muda sio mrefu kuanzia kesho

    Mungu asaidie mipango ikawe sawia
  8. C

    PostGE2025 Sheikh atishia kukabiliana na waandamanaji kwa kuwakata vichwa

    Hii nayo imefeli kama kete zingine zilivyofeli. Kweli hiki Kifo cha Nyani.
  9. C

    Dark days 17/03/20

    Kweli kabisa aysee kumbe yupo kazini. Naona watu wengi wameshtuka sasa.
Back
Top Bottom