Hii mambo ya Ayatollah yakija kutimia siku hiyo watu watakunywa ujimbii na Kangala vilabu vyote vitaishiwa na wengine watalala vilabuni kwa mashangilio.
Hii Tume hata haieleweki kwakweli na sijui kama itakuja kueleweka naona kama wanajichanganya sana mengine wangekuwa wananyamaza tu kuliko kuendelea kujaza watu sumu mtaani.
Watu wameshaijadili hutuba yake kabla ya kusomwa, ogopa sana Watu wakikuchukia. Damu za watu mbaya sana zitakufuata mpaka Kaburini. Naomba Mungu wa Mbinguni aendelee kushupaza shingo wasaidizi wake waendelee kumsindikiza shimoni, maana sipati picha baada ya hutuba watu watazidi kujaa sumu kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.