Ukishapata cheki Na. Lazima ufuate taratibu za utumishi kufanya sahili kwenye taasisi nyingine, kwasasa huna sifa lazima uthibitishwe then ukae kituo cha sasa miaka mitatu. Ukiamua kwenda tu hata ukipata hiyo nafasi utarudishwa huko ulipopata cheki namba sasa
Andika barua kwa katibu mkuu utumishi kupitia kwa DED kuomba uhamisho, ambatisha hiyo barua ya ajira mpya.Muone DED ana kwa ana mwambie ukweli nina hakika atapitisha barua yako kisha itume Dodoma kwa katibu mkuu utumishi, subiri ndani ya miezi mitatu hadi mitano utapata uhamisho.
Mimi mwaka jana October nilikua wa pili kutoka mwisho kwenye selected for oral kati ya watu 25 tuliokua selected na siku ya Oral ndio nilikua wa mwisho kuingia panel room, lakini mwaka huu February mkeka ulitoka wa placement nikiwa miongoni mwa waliopata hiyo kazi. Kwenye Oral wanaenda kuanza...
Kwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo
Wachezaji wazawa ndio hao akina Fei, unadhani kuna timu kubwa zenye mafanikio na zinazoendeshwa kwa weledi zitahitaji wachezaji aina ya Fei ambao wanavunja mikataba kihuni bila kufuata utaratibu? Hawa wataendelee kutumika humuhumu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.