Utupaji hovyo wa taka kando ya Mto Matarawe umekuwa tatizo kubwa linalozidi kushamiri kila siku. Wananchi wanaoishi karibu na mto huo wamegeuza kingo za mto kuwa sehemu ya kutupia taka ngumu, taka za nyumbani, plastiki, mabaki ya chakula na hata vinyesi.
Tabia hii si tu inaharibu mandhari ya...
bomu
halmashauri ya manispaa ya songea
kimya
manispaa
manispaa ya songea
mjini
mto
mto matarawe
nec mazingira
rc ruvuma
songea
uchafuzi
uchafuzi wa mazingira
Kama unapata wivu kwa mwanamke uliyemuacha basi bado una akili za kitoto na huamini kama unaweza kupata walio bora kuzidi yeye. Bado una safari ndefu ya maumivu
Waingereza wana msemo wao, 'Beauty is in the eye of the beholder', kwamba unachokiona wewe kizuri, mwenzio anaona kinyume chake. Huyo ni mwanamke wa kawaida sana.
Kwenye hiyo changamoto uliyoitaja kuhusu mtoto, nimejaribu kufikiria tu kama ingetokea kinyume chake na ikaleta madhara kwa mtoto iwe ulemavu au kumpoteza kabisa halafu hicho kifaa au kitu cha thamani kilichokupa hasira kikabakia kizima, ungejisikiaje? Nafikiri wazazi na walezi tunatakiwa...
Moja ya mambo huwa najutia kwenye mapenzi ni kutochukua hatua za kuacha mwanamke mapema kwa sababu ya;
1. Hofu ya watu hasa wana-jumuiya wangenionaje?
2. Kuamini kwamba atabadilika kitabia nikimpa 'second chance' kila alipokuwa akinikosea.
Matokeo yake, muda mwingi ulitumika kwenye vikao vya...
Binafsi, ningejishauri;
1. Kutooa kabla ya kumaliza chuo.
2. Kuendelea na soka coz naamini ningefanikiwa.
3. Kuendelea na biashara licha ya changamoto zilizokuwa zikijitokeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.