Nimeshuhudia kwa mara ya kwanza CCM wakifanya mkutano wa ajabu, mkubwa lakini ambao wananchi walikua wanashangilia mwanzo mwisho mjini Tunduma. Nilichojifunza wanaompuuza Kinana hawajatafakati vizuri. Na hapa nazikumbuka makala za Kibanda zilizomsababishia upofu! Kibanda alionya " UPINZANI...
Nimeshangazwa na kuhaha kwa Chadema mpaka wamelazimika kumtuma Benson Kigaila kwenda Mbeya kujaribu kuzuia kasi ya Kinana, Katibu mkuu wa CCM. Hii ni baada ya vijana wengi wa Chadema kuanza kuhama CDM na kuhamia CCM baada ya kufukuzwa Zitto na kukunwa na sera safi za CCM.
Kigaila nimepanda...
Hakuna shaka sasa kuwa Chama kikuu cha upinzani nchini (Chadema),kinapitia wakati mgumu sana katika historia ya chama hiki. Jambo moja sina hakika nalo ni kama watavuka salama! Tuwaombee wavuke salama kwa faida ya demokrasia nchini.
Lakini haya yalitabiriwa na viongozi kadhaa wa CCM akiwemo...
Nape Nnauye jana amefunguka juu ya wanaojadili ubaba wa Prof. Mwandosya kwake na kusema anasikia fahari watu wakimfananisha na Mwandosya kwani sifa na uzalendo wa Mwandosya ni heshima na fahari kuwa karibu naye na kufananishwa naye.
"Nasikia watu wanajadili huyu Nape mtoto wa Prof. Mwandosya...
Akili za kibavicha bhana! Hivi hukumwona Nape akiwa Nyamongo na alipomaliza kutatua kero za Nyamongo wana Nyamongo walisukuma mpaka gari yake. Speed hii ya CCM i amaliza kabisa Chadema
5.11.13
Chadema kinakufa huku kinacheka
Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam.
NI dhahiri Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kinakufa huku kinacheka. Kuisema kauli hii kwa Tanzania ya leo, kunahitaji moyo wa chuma. Baadhi ya watu wasiopenda kukoselewa au kuelekezwa jambo wataanza...
Hakika inauma lakini ndio ukweli usiopingika kuwa sasa Chadema sio hadithi wala ndoto tena inasambaratika kwa kasi mbaya na ya ajabu sana.
Imekua kila siku wanafukuzana, uchaguzi ndani ya chama hiki unawatia kiwewe vigogo wanaofaidika na mfuko huo wa saccos!
Ma CCM bila Chama imara cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.