Recent content by cheseo

  1. C

    Natafuta mtu wa kununua asali ya Nyuki wadogo kwa bei ya jumla toka honey spring

    Ndio mkuu,ndio sisi, tuna duka pia la Asali tupu lipo ghorofa la LLOTTOS
  2. C

    Natafuta mtu wa kununua asali ya Nyuki wadogo kwa bei ya jumla toka honey spring

    Nina kampuni ya kuuza ASALI inaitwa HONEY SPRING iliyopo Morogoro Mjini na ninauza ASALI YA NYUKI WADOGO toka TABORA. Natafuta mjasiriamali aliepo ARUSHA MJINI nifanye nae biashara kutokana na uwepo wa wateja wengi wa ASALI YA NYUKI WADOGO. Tuwasiliane kupitia 0683370065 au 0769129351 au...
  3. C

    Natafuta rotary oven za kuokea mikate

    Shukrani wakuu kwa msaada wenu,mbarikiwe
  4. C

    Natafuta rotary oven za kuokea mikate

    Habari wadau!! Naomba msaada wa kupata contacts za wauzaji wa majiko ya ROTARY OVEN ya kuokea mikate kama zinazoonekana kwenye picha,ziwe mpya au used. Namba yangu ni 0683370065 Natanguliza shukrani!!
  5. C

    Gloves ngumu za kutumia bakery

    Aisee asante sana mkuu kwa msaada, ntafanya hivyo, shukrani sana!!
  6. C

    Gloves ngumu za kutumia bakery

    Wadau kwa heshima na taadhima natafuta gloves ndefu za kushikia vitu vya moto katika bakery yangu, anaejua pa kuzipata au alie nazo awasiliane na mimi kwenye namba 0683370065 au 0769129351. Asanteni sana
  7. C

    Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

    Wenye shida na ASALI HALISI ya NYUKI WAKUBWA au WADOGO karibuni HONEY SPRING, kama uko DAR ES SALAAM tunakuletea mpaka ulipo kama upo MOROGORO tuna duka letu la ASALI tu. Namba zetu ni 0683370065 au 0769129351 pia unaweza tembelea PAGE yetu na KULIKE facebook.com/honeyspring12
  8. C

    USED/NEW: natafuta mashine ya kujazia ASALI kama inavyoonekana kwenye picha!!

    Wadau ambae anajua wapi naweza pata mashine ya kujazia ASALI kama inavyoonekana kwenye picha iwe USED au MPYA naomba tuwasiliane kwa simu namba 0769129351 au 0683370065. Natanguliza shukrani za dhati
  9. C

    Natafuta bag neck sealer

    Habari wadau? Natafuta mahali DAR ES SALAAM wanapouza vimashine vidogo vya kufunga seal (BAG NECK SEALER) ntakachotumia kufunga mikate yangu Kama inavyoonekana kwenye picha, natanguliza shukrani zangu za dhati!!
  10. C

    Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

    Mpuuzi wewe, naogopa kula ban ila jua nimekushushia matusi mengi tu, kama humjui mtu usichonge domo lako kisa unalo, na ntafrahi nikiskia siku umekufa kwa ajali. R.I.P dasa SUMA na mauncle zangu
  11. C

    Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

    R.I.P dada SUMA na ma uncle zangu na dada wa kazi! Ni ngumu kuamini ila ni kuwaombea kwa Mungu, ni msiba mzito kwa famili hasa kwa Mme mana sasa amepoteza watoto wote wanne na mke pia!!
  12. C

    Wapi Wanauza Asali Ya Nyuki Wadogo (Dar)

    na hizo ndio package zetu kuanzia nyuki wakubwa hadi wadogo BEI NYUKI WADOGO LITA 1-35000 NUSU LITA-20000 350ML-15000 NYUKI WAKUBWA LITA 1-12000 LITA 5-55000 Tunakuletea mpaka ulipo
  13. C

    Wapi Wanauza Asali Ya Nyuki Wadogo (Dar)

    mkuu mimi ni mfanyabiashara wa asali,asali zangu zinaitwa HONEY SPRING unaweza tembelea page yangu kujionea zaidi ni facebook.com/honeyspring12 namba zangu za simu ni 0683370065 na 0769129351 ukihitaji tunakuletea mpaka mlangoni kwako bila usumbufu. karibu
  14. C

    Duka la kwanza pekee la asali mjini morogoro

    Samahani boss kwa kucheleqa kujibu nilikua na matatizo ya mtandao! Upangaji wa bei una mambo mengi boss, je unajua sasa hivi tabora kwenyewe madukani lita 1 ya nyuki wadogo inauzwaje? Kama ulikua huna taarifa ni elfu 20 na iko kwenye package low quality, sasa fanya hesabu kidogo tu ya kuitoa...
Back
Top Bottom