Recent content by CHEOTU

  1. C

    Rais Magufuli awatimua Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mwenyekiti wa Bodi na Katibu Mkuu Uchukuzi

    Mungu wangu na Baba yangu wa mbinguni mlinde Rais wetu ili arudishe heshima ya nchi yetu
  2. C

    Makontena 9 yakamatwa eneo la Mbezi Beach, Tangi Bovu

    Mh! Zinachosha!! Walewaleeeee. Hama nchi
  3. C

    Mkuu wa Wilaya awasweka rumande Maofisa Ardhi na Mipango Miji Kinondoni

    Makonda tuangalie wakazi wa salasala kwa Barikiwe kuna jamaa alifunga barabara ya wananchi kwa ujeuri wa pesa ni miaka kadhaa sasa wananchi wanataabika ile mbaya. Tusaidie wanyonge ni wakati wetu sasa.
  4. C

    Baada ya Wizara ya Fedha na Muhimbili, Wafuatao ni...

    Napendekeza aende ardhi kinondoni
  5. C

    Mradi (Children Book Project for Tanzania) uko wapi?

    Wapo Dar, Africasana karibu na coner Bar
  6. C

    Msaada: Mimi na mwanangu tunaota ndoto inayofanana

    Ni mara mbili sasa naota mwanangu anaungua moto, hata yeye kaota anaungua! Ina maana gani?
  7. C

    Dereva chukua tahadhari kwa sasa

    Asante kwa kutujuza
Back
Top Bottom