Makonda tuangalie wakazi wa salasala kwa Barikiwe kuna jamaa alifunga barabara ya wananchi kwa ujeuri wa
pesa ni miaka kadhaa sasa wananchi wanataabika ile mbaya. Tusaidie wanyonge ni wakati wetu sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.