Rais Magufuli awatimua Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mwenyekiti wa Bodi na Katibu Mkuu Uchukuzi

kipande ndio alikua mtu sahihi na bandari ilikua infanya kazi vzr nadhan maguful amrudishe kipande enzi zake bandari ilikua inafanya kwa ufanisi '''relatively'"'

Zee limejaa majungu, full kuwapa vyeo watu kwa kuangalia majungu, kahamisha wafanyakazi kibao kwenda vibandari vya Tanga, wengine mwz kisa majungu na fitina. Yule kwanza anatakiwa mh. Magu amfufulie kesi yake
 
Nataka kuona mavumbi mitaani yanaisha (paved roads), umeme wa uhakika na bei nafuu, maji ya uhakika safi na salama, makazi bora, elimu bora na huduma bora za afya.


Hii timua timua haijani-impress mpaka nitakapoona 10% ya implementation ya hayo niliyotaja hapo juu

By the way hata UKAWA ndo tungeanza hivyohivyo ili ku-set mipango ya baadaye, cha muhimu asirudi nyuma katika kuset revenue

Mkuu mpira ni magoli, na uwezi kushinda mara Kwa mara kama unatimu mbovu. Ni jukumu la kocha Mkuu kuhakikisha anasajiri na kupanga kikos kazi kitakachozaa matunda kusudiwa. Kinyume na hapo kufanikiwa ni vigumu sana.
 
Mmmmh!Jamaa anataka kushinda kiulaini 2020 sio??????

Sasa wewe wenzako tunahangaika kubadili mifumo ili iwe na tija kwa taifa wewe unawazia uchaguzi 2020. Hilo liko wazi akifanya vizuri kura za 2020 atazizoa zooote. Mafisadi tu ndio watamnyima.
 
Huyyu ndiye masawe ambaye tayari ananyea debe

12308470_818082204969422_1160174420188191355_n.jpg

Mbona debe kubwaaa wampe kikombe alengeee
 
Mkuu ww Ukawa hukumpa kura so tuachie sisi tuliompigia kura ww subiri ayo ufanyiwe na uyompa kura sawa dada..
Hebu acha kuwagawa watanzania wewe pambaf!!!! Mgufuli mwenyewe alisema atakuwa Rais wa wote wewe ni nani ulete uchonganishi ungekuwa karibu lazima ningekusukumia pini la uhakika
 
Ikawa usiku, ikawa asubuhi, siku ya 32!


Naye Magufuli akaendelea na safisha safisha ya Wizara, Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali. Huku akiwa bado hajatangaza Baraza la Mawaziri. Hakika mtu huyo antaka akikabidhi Wizara kwa Waziri husika, kusiwe na mawaa yawayo yote yale.
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Ukweli nausema. Namuunga mkono Rais Magufuli na Serikali yake kwa mapambano dhidi ya ufisadi, rushwa na dhuluma waliyoyaanzisha. Nawatakia kila lililo jema katika mapambano yao. Lakini, nchi si TRA na Bandari tu. Na wala si TRL tu. Nchi ni wananchi.

Fukuzafukuza na shtakishtaki inayoendelea kutokea TRA,Bandari na TRL si mwarobaini wa nchi nzima. Nchi si Dar es Salaam tu ambapo mambo yote yanayoendelea sasa yanafanyika huku. Dar es salaam ni mkoa mmojawapo tu wa Tanzania.

Watanzania wana imani kubwa na Serikali yao. Bado wanaisubiri. Wanaisubiri kwakuwa yanayoendelea sasa hayawafaidishi moja kwa moja. Hayawapi malazi, chakula wala mavazi. Wananchi wanataka huduma. TRA,Bandari na TRL zisimkwamishe Rais kuwafikia wananchi wote.

Baraza la Mawaiziri liundwe na kazi ifanywe. Kuna maswali ya Wabunge yanasubiri kujibiwa kwa tafiti hapo Januari. Mawaziri watapata muda gani kutafakari na kuyajibu maswali? Na kadhalika na kadhalika.Muda unataradadi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es salaam

mkuu usiangalie TPA and Bandari alone just consider the multiplier effect of the decisions taken on those two.nchi nzima imetikisika kupitia maaamuzi haya. bandari, tra na trl ndiyo backborne ya uchumi wa nchi, wizi wote umelala hapo.akitibu hapo atakuwa amemalizxa kila kitu
 
Nimeipenda kitufe cha kulike nikakikosa
AWAMU YA NNE "Mke wangu nimeitwa Ikulu naona mambo mazuri"

AWAMU YA TANO "Mke wangu nimeitwa Ikulu sijui kama nitasalimika sijui nimeitiwa nini naomba uwataarifu ndugu zangu wajiandae kwa dhamana mahakamani mwambie na mchungaji aniombe."
 
At least amepata pa kuanzia.The country is completely rotten Magufuli keep on going from the most top calibers even within your party circles.
 
Mwanzo mzuri kwa Ngosha, lakini hebu uwaangalie kwa makini watu hawa, Saada Mkuya, adam Malima, Mwigulu Nchemba.
 
Naweza hama nchi kama haya yakiendelea kwa mwaka mzima...cwezi kaa nchi ambayo kiongozi wake ckumpigia kura kwa mkumbo bila kujua mazuri ambayo angeyafanya leo hii roho yangu inaniuma kwa ubaya niliomtendea cku ile ya 25 october...hakika nipo mbioni kuhama nchi endepo matarajio ya wananchi atayatimiza

mim akigusa GESI na MIGODI labda ntajiadhibu kwa kutompigia kura,Kwasasa najizuia na mihemko hii!
 
kuna haja ya kumleta Yesu kristo aje asimamie bandari ya Dar es salaam , kila anayewekwa akija waziri / kiongozi mpya anatimua ! alianza mgawe mara madeni kipande sasa ni awadh masawe ! nani atafuata ?
 
Back
Top Bottom