Mi nina wasiwasi na serikali yetu,kwan mambo haya yanatokea viongozi wako kimya. na sakata la juzi la kutaka kuwataja viongozi wanaojishughulisha na biashara ya dawa za kulevya wamelizima. wakijua utajiri wao wote unategemea biashara hiyo. hata hivi waliokamatwa waweza kuwa kivuli cha vigogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.