Hiv Kati ya Wema Sepetu na Mama Sepetu nani anamuongoza mwenzake? Coz me naona kama wote wana behave like kids hawana idea what there doing kabisaaa, Yes hama chama bt y not go peacefully y all this bullshit. Wote sasa mnaonekana hamna akili.
Mama Sepenga ndo karekodi zile coz kuna clip ameaanza kurekodi tangu anapiga cm na kama umesikiliza kwa makini utasiki notification sound za cm yake, na kama ulikiwa makini kusikiliza mama sepenga alikuwa anaogapa kufunguka wakati Steve alikuwa anafunguka tu akiamini its private, Binafsi ile sio...
Ndo maana Sugu alisema viongozi kama hawa wawe wanapitia bungeni wahakikiwe ndo wapitishwe, haya yote yasingekuwepo saiv coz najua huyu asingepita na wengine kama huyu pia kama wapo!!!
Manchester united bhana,Your manager is shouting this is our night in UCL commercials, but he's playing Europa league . [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.