ni matter of time then kila kitu kitakua wazi,hatuwezi kujadili mambo kwa hisia na msukumo wa ki itikadi,ngoja watoke watasema what was actualy the issue behind tukio zima hili la arusha coz kwasasa ni habari za juu juu tu ndo tunazipata
hatukatai watu kuandamana but what is behind maandamano is even more important kuliko kupangana tu barabarani,ni vema ukatupa details za nini hasa dhima ya maandamano hayo,sababu zilizowasukuma kuandamana na ujumbe mnaotaka kuufikisha kwa jamii kwa hayo maandamano,mkiwa na mantik katika haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.