Jaribu kuangalia ni mambo gani huwa mkikorofishana ananuna halafu ujaribu kuyaepuka usikimbilie tu kumuacha kwani huwezi jua utakaempata atakua na tabia za kurekebishika kweli, mi nadhani hiyo ya kununa inarekebishika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.