Kuna kpmandoo hapo labda K*UMANDOO ya serikali ione tu makomandoo waliofukuzwa au kuacha kazi jwtz?
Hizo ni cartoon za mbowe na serikali inayomlea kwa kazi maalum,mbowe yuko kazini kama kawaida WAJINGA ndiyo watashabikia kile anachofanya kwa kutokujua ila mwenye akili hana muda mchafu kumtukuza...
Siyo kweli
Binadam linatokana na Bin-Adam yaani mtoto wa Adam kulingana na maandiko ya kimapokeo kutoka mataifa ya magharibi na Mtu linatokana na U-mntu yaani mtoto wa Mntu kulingana na asili ya Kibantu ya watu wa Afrika
Huu ndiyo uharisia GSM wasjione wako juu ya WATANZANIA kabisaaaa ndiyo makonda anamadhambi yake basi ahukumiwe kwa madhambi yake ila Riz1 kama kahusika juu ya hili basi hana budi ajitathimini.
Huu ukoo wa GSM ni laana unapaswa kufutiliwa mbali sivyo utatuendesha WATANZANIA kila uongozi...
Nawewe ni nani kulingana na jina lako?
islam ni uko wa kiarabu na imani/mila yao ni islamic.
Sasa nyie mbwea mnahusianaje na ukoo huo au miila hizo???
Muwe na ibu basi wajinga nyie basi kama ni ukoo wa islam ubini wenu pia uwe islam i.e alikiba islam,
Hii huduma ni gumashi haipo kwani ukinujua bufee kwa t.pesa hupati kifurushi na pesa hairudi.
Mimi tangu tarehe 25.02.2022 nimenujua bufee ya 10,000 kwa t.pesa sijapata kifurushi na hao huduma kwa wateja ndiyo pumbafu kabisa hamna wanachojua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.