Tatizo tunakuwa wavivu wa kutafakarisha mbongo zetu sisi hatuna uwezo wa kupigana vita ya sisi kwa sisi alafu mlitaka tusiwe ata na kajambo kamoja kakujivunia kwenye jumuiya ya kimataifa tena mumuache rais wetu ashamirishe ulevi wa meno ya tembo na sembe,nasema tena mumuacheee!!!!!!!!!!!!!!!
Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa ili pamoja na kwamba ntatumia lugha kali ila wafanyabiashara wa Tanzania ni wajanja wajanja(wahuni) hawataki hesabu yao ijulikane ili wakatwe kodi inayostahili lakini kila inapofika mwezi wa Saba ni lazima wapandishe bei za bidhaa kwa imani kuwa watumishi...
mimi ntanunua kwa kua najua hela hazipigi kura mwisho wa siku mtatuhamasisha tusishiriki mazishi ya marehemu wenye uhusiano na CCM eti kisa CHADEMA, MUNGU nibariki nisiwe mjinga kiivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.