Habari bandugu,nashukuru kwa mlioonyesha interest,lakini tunatafuta mtu mwenye uzoefu na baishara hii na mabaye anayo kampuni iliyoanda biashara tayari kama ukiachia miti iliyopigwa marufuku ,kama unaweza kusupply teak au wende,hawa wachina wanahitaji pia.Niandikie jacksonmpenda@yahoo.com.