Recent content by chechemtungi

  1. chechemtungi

    Kama ni kweli stendi ya Simu 2000 kubadilishwa matumizi na kuwa karakana ya DART ni kuwakosea wana Ubungo

    Nadhani wameona walichoweka pale ni uchafu unachafaua taswira ya ile complex. Ila muhimu nikuwa kwanini wasiende maeneo ya kibaha huko mwisho wa ruti yao watake mjini tu?
  2. chechemtungi

    Stand ya Magufuli itakufa kwa maamuzi haya mkuu wa mkoa!

    Stand ya Magufuli ilihamishiwa Mbezi, kwa minajiri yakuongezewa ukubwa na kupanua wigo wa kuwahudumia wananchi. Mh. Makalla kuruhusu hizi stand chache kuendelea kutoa huduma nje ya stand na nje ya utaratibu wa kisheria ni kuendelea kubariki mambo yafutayo yaendelee kufanyika, 1. Kuendelea...
  3. chechemtungi

    Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

    Nachomwambia MAMA yani apangue safu zooote ndio atulie na bado naamini kuna watu wananufaika na watu ambao msomeno unakaribia kuwafikia kuwakata mirija yao , Mama usiogope nchi yako hii ikate mirija yote yakijinga kijinga pangua wote mbaka level ya mwisho Mimi ntasimama na wewe.
  4. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Kuna kazi za wito inabidi watu waambiwe na si kuweka maslahi mbele mkuu hizi huduma wanapata wengi maskini na matajili waliokuwa nacho na wasiokuwa nacho.
  5. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Sasa kwanini tuamue kufanya hivi kwa watu ambao ni hawakupaswa kufanyiwa vitendo kama hivi, Kama unaona maslahi hamna tujaribu kuwaachia wenye wito wakufanya kazi hizi wafanye Watu wasio na hatia wanaumia nachosisitiza Usiombee hili likukute
  6. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Tunaweza kuwalaumu serikali lakini tutambue kuwa hizi kazi za kuwahudumia watu zinaongozwa na wito na si maslahi tunatakiwa tujifunze baadhi ya vitu kama binadamu.
  7. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Mimi mwenyewe nisimalizie tu maana vilivyoendelea hapo nimeweka Moyoni tu ila nimejifunza kwa mapana sana
  8. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Naomba nieleze hili ambalo kwenye Moyo wangu siwezi kuliacha kamwe na sintolisahau katika mwaka uliopita linalohusu hospitali ya Mwananyamala. Mnamo Tarehe 30/12/2020 nilimsaidia majeruhi wa pikipiki ambaye alikuwa amegongwa na gari kumuwahisha hosptali kwa ajili ya Matibabu, aligongewa mitaa...
  9. chechemtungi

    Kwa mazingira yalivyo; je, sanduku la kura liendelee kuwa suluhisho la kupata voongozi?

    Kwasanduku la kura tu si jui kama itawezekana but any way wananchi wanakufa moyo sana
  10. chechemtungi

    GE2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

    Kwa mziki wa Tundu Antipas Lissu haika hapa kama nchi tutasogea mbele. 1: Ana akili 2: Utashi wa kisiasa 3: Uwezo wakupambania matatizo yabwatu 4: Mtu asiye kubali kushinwa katika mambo anayoyaamini. 5: Mwenye kutokuogopa 6: Anaudhubutu wakufanya jambo 7: Upeo mkubwa wakusikiliza na kushauriwa...
  11. chechemtungi

    Nini kimemkumba Rais magufuli, siku hizi haongelei tena 'serikali ya Viwanda'

    Hahahahahah humu ndani watu mnamajungu hahaha eti hangelei tena viwanda kwasababu cherehani zimejaaa kibao mtaani hahahhaha
  12. chechemtungi

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Hahaha hivi unafikili ni kwanini watu wameamua kumuunga mkono Membe? Je Jiwe hakuna lolote alilolifanya..? Je watu wameamua kumchoka mapema hivi kwanini? Ajitathimini tu aone wapi anakosea....?
  13. chechemtungi

    TCRA tufafanulieni maana ya FTA

    Hahahahahhahahahah
  14. chechemtungi

    Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

    Hahahahahahahah nhahahhahahah nimecheka mbaka mbavu zimeniuma hahaha hakika haya ndio maisha tuliyoyachagua.
Back
Top Bottom