TOTAL OVERTIME HOURS IN A MONTH & hence OVERTIME PAY.... by considering working hours and annual leave.
Huo ndio msingi wa swali.
Yaani overtime hours zitakuwa ngapi na pesa itakuwa ngapi kwa sheria za Tz.
Asante sana kwa majibu mazuri.
Kwa kifupi nahitaji kujua hiyo total overtime hours kwa mwezi itakuwa kiasi gani kwa kuangalia vyote nilivyotaja (kufanya kazi 12 hours in a day/ 7 days in a week with only 28 days of annual leave).
Assuming overtime pay na makato mengine yatazingatia sheria za...
Habari za jioni wadau?
Naomba msaada wa kujua total overtime, gross na net salary ya mtu (KWA MWEZI), kwa mwenye basic salary ya 2,192,540 Tshs anayolipwa kwa kufanya saa 45 kwa wiki moja, i.e Mon-Fri (08:00-17:00) na Sat (08:00-13:00).
Lakini akatakiwa kufanya na overtime ya kila siku kwa 12...
Wadau, habari zenu?
Naomba kujua aina ya ndege (flight) inayoweza kunipatia huduma ya kusafiri toka Tanzania (Dar) kwenda Namibia (Windhoek).
Ni aina gani ya flight? Nauli ni kiasi gani (one way, go & return)? Wakala gani anaweza kunisaidia? Contact number ya wakala?
Assuming all other...
JF wameliondoa tangazo langu la KUUZA KIWANJA?
Mbona silioni tena?
Yaani either of the two, itakayowahi ndiyo nitaitumia.
Pesa ninayotaka si nyingi kulinganisha na thamani ya kiwanja, ndiyo maana kuuza ni last option.
Kiwanja kina ukubwa wa 27mx20m...
Thamani ya kiwanja kwa sasa ni zaidi ya 7.5M ...
Nilikinunua kwa bei ya juu kuliko thamani yake halisi kwa sababu nilimvua mtu aliyekinunua kwa 4M (ambayo ndiyo gharama halisi ya kipindi hicho).
Nilimvua kwa sababu kinapakana na kiwanja changu na nilihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.