CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
- Thread starter
- #21
Pole kwa matatitizo Chief....
Mkuu Che pole sana labda tafuta dalali mtaani utaweza kiuza haraka zaidi na bei nzuri zaidi ya hapa. Hapa utaambulia maswali mengi na porojo zakutosha.
Nakushauri whatever it takes usiuze kiwanja! Pambana kwa njia nyingine tu ikiwemo kuchukua mkopo benki na ukipata pesa katikati lipa yote, au ni bora kama ng'ombe wapo uza lakini si kiwanja
Ushauri mzuri huu... Kuuza aifanye ndo option ya mwishoNakushauri whatever it takes usiuze kiwanja! Pambana kwa njia nyingine tu ikiwemo kuchukua mkopo benki na ukipata pesa katikati lipa yote, au ni bora kama ng'ombe wapo uza lakini si kiwanja