kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu...