Nimeahidiwa mkopo wa 2m kwa riba ya 5% ambao nitatakiwa kuulipa kwa miezi 6. Kabla sijaenda kuuchukua nimeona ni vema nikaja humu kuomba ushauri kwa great thinkers mnisaidie ushauri kutokana na uzoefu wenu ni biashara gani nikifanya nitakidhi terms za mkopo? Ninamtanguliza shukrani zangu za...
Moyes huyu "The Chosen One" ambae aliipokea Man Utd iliyotoka kutwaa ubingwa wa EPL na ikamshinda! Hizi ni chuki dhidi ya Pep Guardiola "King of Tactics"
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache au tupunguze chuki. Man Cty hii hii kabla ya Pep Guardiola walipita makocha wengine na tulishuhudia wakiteseka. Leo hii tunashuhudia Mourinho alivyoteseka na Man Utd timu yenye wachezaji ghali zaidi, pia tunashuhudia Maurizio Sarri akiteseka pale Chelsea timu ya tajiri mkubwa. Ndugu...
Haya ni maisha na hizi ndio ajira zao. Tuache Zidane afanye maisha yake. Hivi Mourinho amewahi kuajiriwa darajani Chelsea mara ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli et wanapenda timu zenye mpunga mrefu. Sema wanapenda timu zinazotaka mafanikio. Na kwa sasa mpira ni pesa. Bila kuwa na pesa utaishia kuwa msindikizaji kama Arsenal. Nitajie timu yenye mafanikio na haitumii pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi binafsi huwa sielewi wanatumia vigezo gani kusema EPL ndio ligi bora huku karibu miaka 10 La Liga ndio inatawala UEFA & Europa Cup
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep Guardiola amekwenda EPL kuwa usiempenda kaja. Waliokua wanamponda na matusi ya kila aina siku nyingi sana walishakubali wanakuambia Pep kocha wa mafanikio na records.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep Guardiola ni habari nyingine. Kuna watu walikuwa wakimtukana sana akiwa Barca na Bayern. Wakijinadi aje EPL aone mziki..... Hapo EPL kila mwezi anavunja records zao zilizodumu kwa muda mrefu na kuweka records zake. USIEMPENDA KAJA......
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza ushabiki na chuki. Zidane anaelewa nguvu ya Messi na anaheshimu uwepo wa Messi. Kwa miaka mitatu ambayo Zidane alikua kocha wa Real Madrid, alifanikiwa kuchukua ubingwa wa La Liga mara moja tu na hakufanikiwa kuchukua kombe la mfalme hata mara moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
PSG wanaongoza ligi isiyokua na ushindani. Kumbuka miaka ya nyuma EPL ilikua ligi ya timu 2 Man Utd na Arsenal, baada ya Abramovic kuinunua Chelsea nayo ikaingia kwenye orodha ya timu shindani na sasa kuna Man City, Liverpool na Spurs. PSG ni sawa na Bayern kule Bundesliga.
Kuna wakati ninatamani ligi iishe hata leo ili Man City apewe ndoo yake. Hao wengine wataongea sana. Nimeshangazwa sana na ushangiliaji wa Klopp kwa ushindi dhidi ya Everton kama imetwaa ubingwa wa EPL!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.