Habari?
Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara...
No Sina mpango wa kusifiwa but it seems unaongea mradi or otherwise ungeelewa point yangu.
Mtazamo wako kuwa nimekosea au nimepata, it doesn't matter kwangu. Wala sikukukosoa kwa mtazamo wako hasi. My point was wewe kujudge. Hujui mbeleni kwangu kuna nini na kwanini haya yametokea.
Siogopi...
Hii ndio sababu kubwa inayonifanya niwe proud kuwa mbali naye. Ninaamini nikijitahidi kumlea Kwa msaada wa Mungu kuliko baba yake, itakuwa vema kwa ajili yake.
I wish ungefahamu wanaume wa aina hii wasiojua nini wanahitaji kwenye maisha yao.
Unaweza ukaamini chochote ila ujue tunatumia majina fake, hatuna haja ya kuficha kama mtu anaamua kusema yaliyomsibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.