Huo upuuzi nenda kaujadili na mabwana zako wanaokutuma(CCM)....watanzania hatuhitaji kujua mzazi wa slaa tunachotaka ni kuelezwa utekelezaji w ahadi zenu umefikia wapi
watanzania hatutaki kusikia juu ya kifo cha chadema au vyama vingine tunachotaka ni kutekelezwa kwa ahadi mlizotuahidi sio kupoteza muda kuzungumzia visivyo na faida kwetu...hivi huyu Mwigulu ni lini atazungumza vitu vya msingi na vyenye faida kwa watanzania?badilika kaka....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.