Recent content by CHARLES2016

  1. C

    JamiiForums Tanzania Januari Makamba awajibu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi

    Hiyo Bei ya gesi wataiweza hao watu wa vijijini kweli?!!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

    Biashara ikifanyika kiholela hivyo unadhani serikali itapataje kodi itokanayo na mauzo hayo? Ndo maana yakaanzishwa masoko ya madini katika mikoa yenye madini.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

    Kuna kitu hujakiweka sawa hapo, wananchi unaosema waliishi kwa hofu au kulimia meno kipindi cha JPM je waliendesha maisha yao kwa njia halali au unaongelea wale jamaa wa madawa ya kulevya, wafanyabiashara kanjanja waliokwepa kodi, watumishi waliozoea upigaji serikalini, majambazi sugu na...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

    Ushawishi gani utawapa wazungu wakupe hela bila wao kufaidika na chochote? Ndo maana hii misaada inatolewa kwa mikataba yenye masharti lukuki, kwa kiongozi mwerevu akitafakali impact ya hayo masharti hawezi kukimbilia misaada ya hawa watu.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

    Hizo ni porojo tu za kisiasa, watu wanataka matokeo Chanya siyo maneno matupu, haingii akilini for more than 5 years hatukuwa na changamoto ya umeme then yeye ameingia mambo yamebadilika ghafla. Utetezi anaotoa hau make sense hata kidogo, eti for 5 years service zilikuwa hazifanyiki ndio...
  6. C

    JamiiForums Tanzania January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

    Kwa hiyo na wewe uliamini uongo huo, mitambo isifanyiwe mantainance kwa muda wa miaka mitano mfulululizo kweli?!
  7. C

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alifanyaje kudhibiti umeme kukatika?

    We ndo kilaza kabisa kwa hiyo kila siku Kuna mvua na upepo mkali?!
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kosa moja kubwa alilofanya Hayati Magufuli ni kumteua Samia kuwa mgombea Mwenza

    Ajira bwelele zipi?! Umesahau aliyoyaongea Zanzibar kuhusu ajira?! Anasema vijana wachangamkie fursa wajiajiri how? Bila kujengewa mazingira ya kujiajiri? JPM alikuwa na lengo la kuwalea wajasiriamali wadogo ili wakuze mitaji yao na kuwa wafanyabiashara wakubwa baadae. Suala la kuwapanga...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Awamu ya sita ukipata teuzi unaweza kufanya tafrija kusherehekea

    Stupid reasoning!!
  10. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anajua akikopa asilimia 21 ya mkopo unaenda Zanzibar. Watanganyika wamelala usingizi

    Katika uhalisia Tanzania bara (serikali ya JMT) ndo italipa hilo Deni, Zanzibar ina mamlaka yake ya mapato na TRA haihusiki na mapato ya Zanzibar, kifupi Zanzibar ni Kama parasite ndani ya muungano.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    Huyo binti kakulia uchagani kwa hiyo ameadopt tabia za kichagga.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    Bwashee mtoto akizaliwa na kukulia uchagani automatically anakuwa mchagga kutokana na jamii inayomzunguka hata kama wazazi wake ni makabila tofauti na wachagga.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    Kwa hilo sikubaliani, Kama ni ishu ya kuolewa mbona ni rahisi wanatoroshana tu, binti akirudi na mjukuu anaomba msamaha maisha yanaendelea.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    No pain no gain!! Tafuta zako ujue thamani yake.
  15. C

    JamiiForums Tanzania Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    Duh! Yaani mzazi amekulea, amekusomesha bado unataka Mali zake akugawie, mzazi anachoweza kukusaidia ni kukupa connection ya kazi ili upambana utafute zako na ujue uchungu wa mali. Watoto wengi wakipewa mitaji wanatapanya wanarudi tena kwa wazazi wao kwa sababu hawajui uchungu wa hizo Mali.
Back
Top Bottom