Siku moja niliwahi kuandika kua wasomi wa kitanzania ubongo wao uko tumboni.Ni ngumu kuaminisha watu wenye akili zao kuwa kura huwa hazifai kuiba wakati hata mtu ambaye hana upeo wa kusoma ameshuhudia kwa macho.
Wewe mleta mada unastahili hilo tusi la Mkapa,kwani kwa kifupi hizo rasilimali zote ulizozitaja ukiulizwa zinakusaidiaje kwa huu mfumo wa ccm utatoa jibu gani?
Mbona mnajikita kuwalaumu UKAWA badala ya kutoa mawazo yenu kuwa tutumie namna zipi kuwakabili hawa wenye hati miliki ya Tanzania?Kulikuwa na sababu gani za msingi kuwazuia Ukawa kufungua kampeni zao jangwani?Je,wao sio Watanzania?au Tanzania ni ya CCM na sio Watanzania?
ccm hamtakosa la kusema kwani maji yako shingoni.Naona hivi sasa mmebakia kupika majungu tu.Poleni sana kwa sababu cjui kuanzia mwezi Nov. mtakula wapi.Hata nafasi za kusukuma torol zimekabwa.
Kwa nini mnaongelea matatizo ya ukawa na kuacha kuongelea ya kwenu ndani ya ccm?Toa boriti kwenye jicho lako ndipo uweze kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.Very simple.
Kwani Magufuli mnayemsifia anaenda kuongoza nchi kwa mfumo upi?Yaani makufuli tunaweza kumfananisha na remote
.wenye chama watamburuza.Usitegemee jipya kwa Makomeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.