Naomba kusema kuwa mwanasamu wa kwanza niyule aliumbwa na Mungu tatizo ni kuwa ni lini Mungu alifanya UUMBAJI ?
Nasema hayo kwa sababu AFRICAN HISTORY tumedanganywa sana maana vitabu ving3ti vimeandikwa na waezungu na wao waliandika kwa kujipendelea
Nasema hivyo kwa sababu mzungu analenga...
Kwa uelewa wangu TRA inahaki kujua taarfa za akaunti ya mtu benki. Ila hiyo taarfa ni kati ya TRA na benki na mteja hisika tu. Hata kama Mch. Kakobe alikuwa kisiasa ananvutano na serikali kwa usalama wa kanisa na Mch, Kakobe ile huwa ni siri. Kama TRA watagunduwa kuwa hiyo hela ni haramu hapo...
* Kwa nini uwahukumu kama hawawezi huku hujawapa nafasi waseme kama wameshindwa.?
* Maswala yote hayo uliyo yataja ni ya huko kwao hayatuhusu.
* Wewe ndiyo umeagizwa na serikali kuzuia wasije kwa hoja hizo, au wewe ndiye mwamuzi wakuamuwa waje au wasije.?
Mimi ni mojawapo ambaye napenda...
Ahsante "le Mutuz" kwa yote uliyo yasema, ila nashukuru umekuwa mkweli kuyasema.
Yote uliyo yasema wananchi tunajuliza ni hatuwa gani ilifanyika kufanya haki kwa waliotendwa na na serikali husika?
Mimi naona umedhihirisha malalmiko yetu kwamba hili tatizo la watu wasiyo julikana serikali...
Oooooh
mimi nilifikiri walio wapigia kura ndo wangeulizwa, hata hawapewi nafasi wajielezi , mimi sikujuwa wamekosa nini hadi wanapigwa chini OK
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako yana busara lakini aliye leta mada bahati mbaya tumeikutiliza katikati labda alipata tiba yake au waadhirika wakufate uwasaidie lakini sio mambo ya uganga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.