Jamani hawa wasakatonge tuwe makini nao tuliambiwa kuna mbinu 13 za kulinda uwizi wa kura sasa tunahamasishwa kuzilinda baada ya kupiga swali langu zile mbinu zimeyeyuka?au tuamini kuwa aliyetamka amezoea uwizi naje? hiyo jpili tutakuwa nao pamoja? mnisaidie maana siku zinayoyoma.
Akilizako haziko Sawa tambua baada ya uchaguzi maisha yanaendelea kumbuka kwa elimu uliyoipata njombe haijakusaidia ila mkataa cha wengi ni mchawi huenda ukawa.
Usipingane na viongozi wako wamesema Jamaa siyo ila huko ni kama kanisa atatubu Kisha kuwa msafi tafsiri rahisi akiwa kule nishetani ila akiwa kwetu ni malaika SHAURI yao wwalishindwa wenyewe sasa kimya.
Miongoni mwa watumishi wa Mungu nahuyu yumo?Changamya Yesu alikataa ndo maana anasema uchague moja kama baridi uwebaridi kabisa kama moto basi uwemoto kweli kweli huyu amewashikilia mabwana wangap?mbona hafananiiina mchungakondoo?sisi tunaoamini ktk Kristo aangalie upya asije akawa daraja la...
Ni bora kuamini Mungu yupo ili ikitokea umefika huko aliko ukamkuta kuliko kuamini kuwa hayupo halafu mwisho wasiku ukamkuta tuwe na kiasi ktk kupenda ushabiki huu utatumaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.