Chamsingi.. Sameheaneni Kabisa.. Halafu Angalia Moyoni mwako na ujihakikishie kwa dhati ni kweli unpenda? Au unamtamani? Kwasababu kupenda na kutamani ni ngumu sana kutofautisha.. Ukishajihakikisha na kujiridhisha kua kweli unampenda. Ni kucheki Afya zenu? Pia jiulize uko tayari kumchukua...
I know her Trust Me.. Hii ni Dar lkn watu tunaishi nao Mtaani dats y nakuambia kwa kujiamini I know her ungekua Muwazi kunitajia jina tu ninge kuthibitishia.
Okay.. Lakn Kaka.. Angalia Mimi nakushauri Usije Ukafanya hicho kitu. Mwache tu. Kwanza utakua umejiepusha na Mengi pia utakua Umeepuka kumkosea Mungu kwasababu anakataza Mambo kama hayo she z not your Wife.. Ni Binti tu Umekutana nae Respect Her. Utakua Umefanya Vibaya sana kusex nae. Na dhambi...
Bora Asipate hyo kazi. Mwache mdogo wako amechkua Uamuzi Sahihi, kwani ukipata kazi kwa kutoa Penzi ni Lazima utaendelea kutoa Penzi ili kulinda Kazi yako.. We unamtakia mabaya mdogo wako wewe kwa kumshauri hvyo.. Kama Mungu amekusudia hapo atapata tu.. Na kama ni sehemu nyingine atapata labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.