Mimi ni mjasiliamali mzuri tu na hiyo pesa ambayo na hitaji sio big deal sanaa kwangu ila tu nina dharura kitu ambacho siwez kufanya kuuza vitu au kuvitoa vitu kheri kama mtu yupo tayari anaweza kupga tathimini ya vitu nilivyonavyo vina thamani kubwa zaid ya hyo pesa ninayoomba
Najua kwa dhama hizi si rahisi mtu kukupatia pesa ki rahisi sasa inategemea na mtu mwenyewe anavyokuwa na mazingira yake kikubwa ni hadi kusema hivyo najiamini hivyo ambae yupo tayari tafadhal naomba anitafute mimi ni muungwana tu
sitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukua
hapana mkuu tatzo ni kwamba nina shida ya dharura sio mikopo mingine inaprocess utaambiwa hivi mara vile sasa vitu vingne sina raba leseni ya biashara, bank statement sijui nini yaani kwangu vinakuwa vigumu wengine magar pikipiki bajaj sasa hvyo mi sina
Wakuu nina shida ya haraka ni muhimu zaidi 1,000,000 nina dhamana za vitu vya ndani vyenye thamani zaidi malipo ni baada ya mwezi atachagua mwenyewe nirejeshe kiasi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.