Recent content by chararaa

  1. C

    Ni upumbavu mtu mweusi kuishi tamaduni za kiarabu

    DINI YA HAKI YA MWENYEZI MUNGU HALAFU NENO HAKI HAWATAKI HATA KULISIKIA MASIKIO MWAO
  2. C

    Serikali ianzishe program ya watu kuchangia kwaajili ya uzee. Iitwe KIZAZI SALAMA FUND (KSF). Ili Kila Mzee wa Tanzania alipwe posho kwa mwezi

    Mawazo ya kuendelea kuumiza wananchibkwa kodi huku viongozi na familia zao wakiendelea kujinunulia magari ya mabilion na kuficha pesa nje ya nchi ni mawazo ya kiuaji kabisa hivyo wewe na mawazo yako wote washenzi tu.
  3. C

    Prof. Tibaijuka: Huwezi kulileta Taifa pamoja na Kiongozi wa Upinzani yuko Gerezani

    Watu ambao mikundu imesha tanuka hadi inavujisha akili unadhani utaweza kweli kujua ukuu wa upinzani wa CHADEMA?
  4. C

    Mwigulu: Mirija ya wanaharakati ilipokatwa na Hayati Magufuli wakaanza kumtukana, alipoingia Samia wakadhani ni mteremko

    Mwigulu bado ana mentality ya siasa za kizamani sana zama zamiaka ya 90 anasahau kwamba kwasasa dunia imesha badilisha akili za wanadamu kabisa.
  5. C

    PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Huyo ni kapt tesha aliye changamka ni wale wale wa oktoba 29 wanapima upepo ili wapate wafuasi wa kuingia kuchwa kichwa waliwe vichwa
  6. C

    PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Nchi haiwezi tena kurudi kwenye mstari ilihali damu za watu mamia kwa maelfu zimemwangwa kwa tamaa ya madaraka
  7. C

    2030 na baada ya hapo, kuna uwezekano wa kuundwa Chama kipya chenye ushawishi au serikali ya mseto

    CCM na viongozi wake kwa sasa hawahitaji kura za wananchi ili kushika dola na wala hawana heshima nazo tena,wanacho hitaji wao ni polisi na bunduki pekee, kuamini kinyume na hivyo ni kujipumbaza sana
  8. C

    Ccm ya Samia na wasira imeshindwa kutuma MWAKILISHI kwenye msiba wa Gavana wa kwanza, kisa alihasisi chadema? Shame on you.

    Samia na magufuli wanaroho ya chuki na wamefanikiwa kuipandikiza CCM roho hiyo wanaamini siasa si upinzani wa sera,misimamo na hoja bali ni vita,uadui na ugomvi.
  9. C

    Mwigulu: Mirija ya wanaharakati ilipokatwa na Hayati Magufuli wakaanza kumtukana, alipoingia Samia wakadhani ni mteremko

    Huyu mpuuzi nae abadilishe story tumesha mchoka kila siku yeye ni kulalamika tuu hana muda wa kueleza wananchi maswala ya kuliunganisha taifa
  10. C

    Katambi: Leteni majina wanaoandika uchochezi

    Ulicho fanya nikumsababishia mwenzio matatizo hilo sio jina lako huenda ni jina la mwalimu usiye mpenda au mliye gombana imeamua kumuundia msala ujasiri wako wa kujianika tungeuona kwenye ID yako hapo
  11. C

    Kenani Kihongosi: Jirani zetu Congo, Rwanda na Burundi hawana amani sababu walichochewa, tusiruhusu wenye agenda ovu kutuvuruga

    Huyu kùma kweli nyerere aliasisi kuteka na kuua raia hovyo? Kwani nyerere aliasisi viongozi kujilimbikizia mali na wizi na ufisadi huku walikulindwa na serikali? Mbona hilo hasemi
  12. C

    Viongozi wa Dini Wajikite kuhubiri Neno la Mungu kama lilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu Na siyo kuhubiri Hisia zao za kisiasa

    We likundu neno hilo hilo limeandika usiue ,usiibe,usidhurumu, sasa kuna dhambi gani wahubiri kutolea mifano kwa wanao uawa na serikali kama yesu alivyo toa mifano?
Back
Top Bottom