Nilikuwa na mpenzi wangu kijijini tuliahidiana mengi sana likiwemo kuoana but nilipomaliza chuo na kwa bahati nzuri nikapangiwa kazi kijijin kwao niliyoyakuta sikuamini macho yangu.
Kwanza wakati natoka Dar nikamlipia nauli ili tukutane mjini huku nikiwa na hamu na shauku ya kumuona mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.