Recent content by chapoka

  1. C

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Kumbuka andiko kuwa wote waliompokea walifanyika kuwa watoto wa Mungu,si kwa mapenzi ya mwili na wala ya damu nk......... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kwa hiyo kumbe Injili unaiamini. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Andiko gani hilo alilosema kuwa Issa,Issa akatokea,lipo ktk kitabu gani. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Yesu haitaji kutetewa na mwanaadamu ww,ndio maana hakuwa na jeshi duniani,yeye anajiamini na anajijua ni nani,na alikuwa anajua kilichomleta duniani,hakuja duniani kula bata,na ndio maana hakujishughulisha na maisha yenu ya kidunia. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Nimekuuliza hiyo Aya ya Injili uliyoileta unaiamini, Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kwa hiyo hayo maandiko unayaamini. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kwa nini uwe wa Mama,hakuna mtu asiye na baba wewe,asiye na baba hajazaliwa duniani,kila mtoto ana baba yake,sema aidha baba yake hajulikani,au watu wamuharamisha kwa itikadi zao,huwezi kuzaliwa bila baba. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kabla ya kukuthibitishia,umeshamfahamu ninayemuongelea. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kweli kabisa ,upo sahihi,kwa sababu Wakristo ni wafuasi wa Yesu,Issa hawamjui. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Wakristo wanamfahamu ni Yesu Mnazareti pekee mwana Mariam,ambaye Mimba yake ilipatikana kwa uwezo wa Roho Mtakatifu,yaani uwezo wa Kimungu tu ulimfanye awepo,yaani Baba yake ni yule mwenye uwezo uliyemfanya awepo.Ambaye alikuwa na wafuasi kumi na mbili,akiwemo Petro,Yuda.na wengineo. Sent using...
  11. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Kwa nini iwe Injili ya Barbanaba tu ndio ipinge kifo cha Yesu,na kwa nn waislamu wakubaliane na Yeye tu,wakawapinga wengine,wakati ndani Qurai hata nusu ya Injili haipo,wamedokoa dokoa vistori vidogo vidogo tu,huoni mtiririko wa maisha ya Yesu ktk Quran. Halafu jiulize watu wa Sent using Jamii...
  12. C

    Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

    Haroun kaka yake Musa wa Agano la Kale,ndio wanasema ni Kaka yake Mariam ,Mama yake Yesu wa Agano Jipya. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    90% ya Amani duniani imechangiwa na Dini na haswa ile Dini ya Yesu, Dini pamoja na madhaifu yake imetupa ustaarabu waafrika ambao ktk zama za giza tulikuwa tunafanyiana sana.sisi kule kwetu songea uchawi ulikuwa wa kiwango cha juu sana,lakini dini imetengeneza upendo wa aina furani,yale mambo...
  14. C

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Naomba mnisaidie kumjua huyo mtu aliyetunga habari za Yesu mnazareti,kwani uwezo wake haukua wa kibinaadamu,hivi aliwezaje kutunga hadithi ya Mtu mkamilifu vile,ambae aliishi kwa uwezo wa ajabu,nisaidieni nimjue mtu huyo ili nimwabudu Mungu kupitia yeye,na hata kama Mungu hayupo nimwabudu huyo...
  15. C

    Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

    Unapenda sana kuamini kila andiko bila kujua limetoka kwa Mungu wa kweli au shetani,haya maandiko katika vitabu vyote yameandikwa na wanaadamu tu, Pia angalia ukweli na ubora wa jambo lililoandikwa,utukufu wa mtu hupimwa kwa matendo yake,ndio maana hata Wafalme kama Daudi walipofanya makosa...
Back
Top Bottom