Leo tarehe 13 Oktoba 2022, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata shehena ya mizigo ya vitenge ya marobota 290 katika kontena mbili yenye thamani zaidi ya tsh. Billioni 5 iliyopitishwa kwa magendo katika bandari zetu.
Mfanyabiashara mwenye shehena hiyo alitorokea Dubai majuma matatu...
Kilio cha Wakandarasi na Wazabuni wa Serikali,Nini kifanyike watu wanateseka!
Kwa miaka michache ya karibuni serikali imeandaa utaratibu mpya wa malipo kwa Wakandarasi na Wazabuni wanaoidai serikali kutokana na huduma mbalimbali walizotoa.
Mfumo huu uitwao Gpay hutaka mdai kukamilisha taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.