Nina mpenzi wangu nampenda sana bali hana anachojua kitandani,nimejitahidi kumfundisha zaidi ya miaka 2 sasa lkn hamna improvement yeyote ile.Nikimwangalia huwa namtamani sana lkn linapokuja suala ya ku do si enjoy lolote kutoka kwake.
Ulikua na mume au mke wako ukagundua amechepuka na kupata mtoto nje ya ndoa yenu na ukaamua kumuacha.Ukazidisha maombi kwa muumba ili akupatie wa kufanana nawe lakini kila ukionyeshwa na mungu inakuja picha ya yuleyule uliemuacha.Je utamrudia? na je huyo ni chaguo la mungu?
sheeeeeeeda! kwelikweli "SI HASA"kweli ni balaa leo utasikia hili kesho lile lkn mpaka october 30 zitabaki kelele za kuibiana kura tu mengineyo yatakua yameisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.